Mobutu no 2Na uwanja wa ndege wa kimataifa
Kwao wapi kwani?Baada ya taarifa ya habari ITV utasikia, tunakuletea kibonzo cha leo kilichoandaliwa na msanii wetu Nathan Mpangala..
.
.
Mtu kwaooo, Mtu kwaooooo, Mtu kwaooooooooo
Bado 8Mwaka wa tatu huu, bado miwili!!
Si mlimchagua Mwakyembe,mwambieni awaletee maendeleo mnayohitajiKila kitu ndio iwe kwao tu , kwetu Kyela wataleta lini hayo maendeleo ?
JinyingeniMobutu style!!
Inakuuma mlizoea maendeleo yaende kaskazini tu!! Acha na kanda ya ziwa tufaidi kidogo na sisi na nyinyi mpumzike kidogo Mangi.Ni katika taarifa ya habari ya Azam two muda huu. Naona maendeleo yamepamba moto kijijini Chato. Mtu kwao bwana..
Mobutu style!!
hatukumchagua Mwakyembe mkuu , omba radhi .Si mlimchagua Mwakyembe,mwambieni awaletee maendeleo mnayohitaji
Ila ubongo ninao mkuu!!huna akili
Hao wanahela za machimbo, we wadharau tu, nenda benki za Kahama, kaa mle ndani nusu saa afu uangalie wale wanao deposit mabulungutu mle ndani wana hadhi gani.Jamani watu wa Chato wamechoka kama unabisha katizama you tube video ndiyo utajua kwamba ile bank ni kwa ajili ya kuweka pesa zake. Jamani nyie huyu baba mwenzenu na mchukia balaa.