Ushauri mzuriNakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, Asante
mungu akusamehe kula chura sio vizuri mkuukungekuwa hakuna ngoma..ningekushaur uwe unamtafuna 0714 daily..ila sasa maradh ndio mtihan Sheikh...mkimbize tuu huyo malaya before it's too late..tatizo kuoa wenye chura..ao ni malaya by default...coz wanasumbuliwa sana..
kwa malaya kama huyo unamtafuna tuumungu akusamehe kula chura sio vizuri mkuu
Haya mambo tuwaachie wacheza film tu.Nakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, Asante
Nilikuwa na ex mshika dini. Tule dada alikuwa anaimba kwaya kabisaaa, yaani tena praise.dini kwao ipo ila si kwa familia yote wengine wanajificha ktk dini ila ndio hivyo tena
wachache wenye ufahamu wa namna hiyo wengi tunawaoa unakuta mtu kaficha mkucha yake.Kama huyu wangu hana wazazi wote washatangulia mbele ya haki alikua mpole lkn baada ya kua nae anajiona yuko sawa kupambana na mimi.Wanawake wengi ni 00000Mnabidi mtulie. Umeolewa unaishi na mwanaume anayekuhudumia lkn unahangaika na wanawaume ambao hawana mpango na ww.
Unajua kwann kakataa kuondoka? Anajua ataenda wapi? Huyo anayepiga mechi huko nje si ajabu kaoa. Halafu baadae ataanza kulalamika wanaume wabaya. Ogopa sana kitu wanachokitamani wengine, wapo wanaolala kwenye nyumba za ibada, kwa waganga n.k ili angalau waolewe lkn ww umeolewa lkn unahangaika na wanaume. Ukipendwa, shikamana
Sorry wewe ni wa dhehebu gani?Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Mmmmmmmh nasikia mpka mwili umenisisimuka, Eeeeh mungu niepushe na hili. Mkuu pole sanaNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Mkuu upo kama mm embu jaribu kufikiria ww ndo huyo jamaaHizi mambo ndo sipendagi hata kuzi-imagine.
Dah....mvumilie tu...ni bahati mbaya tu hiyo....sifa ya mwanaume ni uvumilivu 😀😀😀😀😀😀Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Hivi unadhani ushauri gani unaoutaka wewe hapo?eti umemfukuza ila haondoki?haondoki kwako?au kwake? Naungana na anaesema umeolewa wewe...kama mnapoishi ni kwako angekua ameondoka tu...mwanamke anaeweza kutuma picha za uchi wake kwa mwanaume asie mume wake...huyo sio mwanamke...wa kumuita mkeNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu