Mke malaya, nimfanyaje?

Mke malaya, nimfanyaje?

mi nina swala moja kwako. Je mkeo alitoka kwenye familia ya wazazi walioshika dini sana na wakali?
dini kwao ipo ila si kwa familia yote wengine wanajificha ktk dini ila ndio hivyo tena
 
Nakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, Asante
Ushauri mzuri
 
kungekuwa hakuna ngoma..ningekushaur uwe unamtafuna 0714 daily..ila sasa maradh ndio mtihan Sheikh...mkimbize tuu huyo malaya before it's too late..tatizo kuoa wenye chura..ao ni malaya by default...coz wanasumbuliwa sana..
mungu akusamehe kula chura sio vizuri mkuu
 
Nakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, Asante
Haya mambo tuwaachie wacheza film tu.
 
dini kwao ipo ila si kwa familia yote wengine wanajificha ktk dini ila ndio hivyo tena
Nilikuwa na ex mshika dini. Tule dada alikuwa anaimba kwaya kabisaaa, yaani tena praise.
Mama yake alikuwa mtumishi tena maombi mpaka ya kunena kwa lugha. Na walinifaham sababu na mm napenda maombi.
Ila mwishon nilikuja gundua yule dada ni malaya namba 1. Tena mzoefu, yaan uchaf wote anao yeye sema anafanya kwa siri sana.

Dininisikudanganye
 
May be analipa kisasi kama aliwahi kukufumania ukichepuka....cox wanawake hawanaga msamaha wa kwel akikufumania....
 
Mnabidi mtulie. Umeolewa unaishi na mwanaume anayekuhudumia lkn unahangaika na wanawaume ambao hawana mpango na ww.
Unajua kwann kakataa kuondoka? Anajua ataenda wapi? Huyo anayepiga mechi huko nje si ajabu kaoa. Halafu baadae ataanza kulalamika wanaume wabaya. Ogopa sana kitu wanachokitamani wengine, wapo wanaolala kwenye nyumba za ibada, kwa waganga n.k ili angalau waolewe lkn ww umeolewa lkn unahangaika na wanaume. Ukipendwa, shikamana
wachache wenye ufahamu wa namna hiyo wengi tunawaoa unakuta mtu kaficha mkucha yake.Kama huyu wangu hana wazazi wote washatangulia mbele ya haki alikua mpole lkn baada ya kua nae anajiona yuko sawa kupambana na mimi.Wanawake wengi ni 00000
 
Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.

Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.

Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.

Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.

Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.

Msaada wenu
Sorry wewe ni wa dhehebu gani?
 
Mungu aniepushie katika majaribu haya Kwasababu ninavyojijua defender ndio itanifata baada ya tukio kama hili.

Ukimwi unaua, cheka cheka baadae utalia na kusaga meno.
 
Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.

Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.

Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.

Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.

Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.

Msaada wenu
Mmmmmmmh nasikia mpka mwili umenisisimuka, Eeeeh mungu niepushe na hili. Mkuu pole sana
 
Yani bado hujabeba shoka tu?


STILL MESSI IS BETTER THAN RONALDO
 
Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.

Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.

Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.

Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.

Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.

Msaada wenu
Dah....mvumilie tu...ni bahati mbaya tu hiyo....sifa ya mwanaume ni uvumilivu 😀😀😀😀😀😀
 
hapa naenda kwanza kucheki afya mungu asaidi niwe salama ndio nije kutoa maamuzi
 
Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.

Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.

Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.

Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.

Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.

Msaada wenu
Hivi unadhani ushauri gani unaoutaka wewe hapo?eti umemfukuza ila haondoki?haondoki kwako?au kwake? Naungana na anaesema umeolewa wewe...kama mnapoishi ni kwako angekua ameondoka tu...mwanamke anaeweza kutuma picha za uchi wake kwa mwanaume asie mume wake...huyo sio mwanamke...wa kumuita mke
 
Back
Top Bottom