Recent content by maestrocurry

  1. maestrocurry

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa mkeka bet waje na mitandao mingne bas maana hii m bet option chache sana ukibet normal bas zote normal
  2. maestrocurry

    Video: Shilole asema amepata bwana mpya lakini "anamgonga" mpaka basi

    Hzi media nazo zinawabeba sana hakuna hata wanachokiimba halaf akija kuumwa utaskia watanzania mnichangie
  3. maestrocurry

    Wabunge wa Upinzani watoka bungeni wakiwa wameziba midomo yao

    Inasaidia nn sasa wakat hakuna ayejali bora wangekaa nyumban kwao tu wawasaidie wake zao kaz
  4. maestrocurry

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau naomba kuuliza hv mkeka bet option za malipo ni m pesa peke yake au kuna mtandao mwingine
  5. maestrocurry

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mengine tutakusamehe maguful ila co hil la kubana demokrasia
  6. maestrocurry

    Kwa mtoko mmoja, Wema Sepetu anavaa vitu vyenye gharama ya zaidi ya milioni mbili

    Atakayekuja mwingine utaskia mtoko mmoja milion 20 mwengine milion 200 wanaongeza 0 tu mbele
  7. maestrocurry

    Mama Wema Sepetu akiwachamba wale wote wanaosema mwanae ana umbo feki

    Unaanzaje kushangaa matendo ya wema kama bi mkubwa yupo hv
  8. maestrocurry

    Kejeli za Eddo Kumwembe dhidi ya Rekodi za Zitto Kabwe

    Kumbe edo na huku yupo vzr
  9. maestrocurry

    Maneno mazito ya Mtatiro kwa Prof. Lipumba

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. maestrocurry

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kupangiwa vigogo japokuwa alipangiwa monaco akatoka pia[emoji13] [emoji13]
  11. maestrocurry

    Tecno L8: Je, ipo vizuri?

    Inategemea ila nying za sasa hv zinazngua hasa huu mtindo wa app kujidownload zenyew
  12. maestrocurry

    Afadhali daladala kuliko UDART

    Na utakuta mtu anaambiwa kabisa hii haisimam popote lakn anapanda halaf anaanza kulaumu baadae
  13. maestrocurry

    Ommy Dimpoz nae kaamua kutoboa pua na kusema haya

    Mzik ushaisha hapo hiko ndo kilichobakia
Back
Top Bottom