Tecno L8: Je, ipo vizuri?

Tecno L8: Je, ipo vizuri?

Mie natumia l8 plus, kuna version mbili l8 na hiyo plus iko vizuri sana hasa hasa battery utaifurahia sana, nilikuwa natumia Samsung Galaxy battery ikawa inasumbua sana ila kwa hii l8plus nimeridhika sana
L8 plus INA 4G?
 
tecno boom J8 iko vizuri sana hasa battery yake inamudu mikimiki ya internet na kudownload

j8

Battery

Capacity 3000mAh Li-Ion battery

L8

Battery

Capacity 5050mAh Li-Ion battery

How can you just compre the 2??
 
Achana na j8 chukua w4 lak 2 tu mpk lak 80
 
Tecno nishawachoka ngj nihamie LG nione nako hali ikoje....ngj nisubir kwanza haka ka j8 kachakae kwanz maana hakana ht mwezi Leo hii wameleta C9 ukinunua hyo baada ya wiki 3 wanaleta phantom 6 bhas ni full vurugumechi
 
tecno sio simu, ningelishauri serikali lifungiwe simu zao ni ovyo.. japo natumia tecno c8. haina hata mwezi ila ni korofi
 
Inategemea ila nying za sasa hv zinazngua hasa huu mtindo wa app kujidownload zenyew
app hazi jidownload but kuna ads huwa zina download virus sasa kazi yake n kucontrol simu yako dawa yake downlpad Dr.web antivirus itamtoa
 
Back
Top Bottom