Recent content by maedson

  1. M

    Wako wapi wanawake wa aina hii siku hizi?

    People do not understand a little thing about love.. ... Ukweli ni kwamba, wanawake wa sifa hizi wapo, tena wengi mno!! Tatizo lililopo ni kwamba.. Kumpata mtu anayejua kupenda na wewe lazima ujue kupenda na ufahamu kupenda ni nini... Zamani ulichaguliwa mtu wa kuoa/kuolewa na kutoka na sifa...
  2. M

    Fahamu utajiri kwenye biashara ya fedha za kigeni (FOREX TRADING)

    Nipo, ninaujuzi mkubwa sana! Nitakufundisha.. BBZ10
  3. M

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Nimekuwa kwenye Forex na trading companies kwa muda mrefu sasa, yapata mwaka 1 na nusu.. Nilipata hasara zaidi ya $6800 USD na mpaka sasa nimekuwa mzoefu mno na nimefundishwa njia nyingi karibu miezi 6 sasa.. Ngoja niwape siri: wazungu wengi sana wanaishi kwa njia hii na ni njia halali na...
  4. M

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Daa, pamoja na kuwacrushed sana.. Ila we jamaa unaakili sana.. Umenipa elimu hata mimi! Milionea sio kuwa na milion 2,3,10! Hapana ww is milionea BBZ10
  5. M

    Tatizo la plugged in, not charging kwenye computer linatatuliwa vipi?

    I think I can help na ukiendelea kupata tatizo tutawasiliana..The problem ni ktk adapter na siyo pc.. Kwa jinsi umeme unapo flow kwenye pc unafanya adapter kucheamka sana hivyo kutopeleka umeme wa kutosha ktk pc yako... Suluhisho ni kutafuta adapter nyingine tena iwe ni original ya komputa...
  6. M

    Uliza kuhusu blackberry nikusaidie..

    Haha haha hahaaa! Zipo mkuu.. BBZ10
  7. M

    Windows 10 inazingua PC yangu

    Naomba ueleze vizuri kuwa haiconnect kivip? Unatumia nini ktk connection? Namaanisha.. Modem, wifi, mobile au njia ipi na inakataa vp kuconnect? BBZ10
  8. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wanasusiana kisa demu Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
  9. M

    Windows 10 inazingua PC yangu

    Tatizo la hapo siyo 0S (Operating system), update drive zako. Drive power state failure ni moja ya tatizo. Jinsi ya ku upadate drives 1. Nenda kwenye icon ya "c0mputer" (this pc) ktk window 8 na 10.. 2. Right click ktk icon hiyo (this pc) 3. Click manage 4. Drive manager 5. Drives zenye warning...
  10. M

    Uliza kuhusu blackberry nikusaidie..

    I'm back baada ya kutokuwa ktk mtandao huu kwa muda mrefu sasa.. Please, uliza kuhusu blackberry nitakusaidia na kama ni urgent sana nita ku refer kwa mtindo mwingine.. Feel free and home! BBZ10
  11. M

    BlackBerry Curve 8520 msaada tafadhali

    Tatizo hilo ni dogo kabisa na haliitaji kusumbuka.. Kwanza, unatakiwa uwe na Email (barua pepe) na uweze kuisajili ktk sim ili kupata access(uwezeshaji) wa simu yako na kwa matumizi ya setting za application ni lazima uweze kuwa na email.. Blackberry w0rld inahitaji privacy yake kwa mtumiaji...
  12. M

    Baadhi ya wana JF shule hawajaenda japo darasani wameingia

    Thanks, sir... I love this... I remember once I read from someone, said "uovu na maovu yanayotokea, si kwa sababu ya kuongezeka kwa watenda maovu ila kukaa kimya kwa watenda mema"... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  13. M

    2G, 3G, H, H+, E, alama mbalimbali za Mobile Networks zinazowachanganya watumiaji wengi wa simu

    I l0ve Tanzania... I really d0 l0ve this c0untry... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  14. M

    Taarifa kwa makamanda na wadau wote wa mabadiliko chini ya UKAWA

    Braza hakuna anayekukubali kama mimi aisee.. Huwezi kuamini nilikuwa nawaambia washkaj zangu kuwa itakuwa wamefanya kitu kibaya ktk maisha yako au wamekuuwa kabisa! Kweli braza ninafuraha sana kuwa uko salama.. Nimepigia kura ccm toka nianze kupiga kura.. Yaan toka nitimize miaka 18, ila...
Back
Top Bottom