Wako wapi wanawake wa aina hii siku hizi?

Wako wapi wanawake wa aina hii siku hizi?

Wapo sana mkuu trust me wapo.Tatizo hamuangalii tabia mnaangalia physical appearances
 
People do not understand a little thing about love..

... Ukweli ni kwamba, wanawake wa sifa hizi wapo, tena wengi mno!!

Tatizo lililopo ni kwamba.. Kumpata mtu anayejua kupenda na wewe lazima ujue kupenda na ufahamu kupenda ni nini...

Zamani ulichaguliwa mtu wa kuoa/kuolewa na kutoka na sifa hizo.. Mwanamke alikuwa mnyenyekevu daima kwa kuogopa aibu ya kuachwa, na akiachwa haolewi tena, watu walikuwa wanamchukulia kuwa mchafu. Sikuhizi unamuacha mwanamke, kesho kaolewa, tena na best friend wako.


Mwanaume alikuwa mchapa kazi, mletaji, mtunza familia, mlinzi wa watoto na mke, anaheshimika na mpokea ushauri kwa mke na wazee..
Leo hii.. Tafuta mwanaume kama huyo.. Ukimuonesha rafiki yako wa karibu.. Kesho anaspend nae.. Na umwambii kitu!

Mimi ni mwanaume na najua sisi wanaume tulivyo!!


So, kama mtu anataka kupendwa au kuona mapenzi ya hivyo kwa mwanamke.. Trust me, u need to be a man up enough!!

Mwanaume yuko na mkewe anacheka cheka hovyo, anatukana tukana na si hivyo tuu.. Anamtukana mkewe matusi ya nguoni.. Walahi nikikuta wamtukana na kumnyanyasa mkeo, nitamchukua na kumuonesha mapenzi ni nini.. Shenziii kabisaa. Mneleta ujinga hapa!


Kama kweli wewe ni mwanamume.. Mpende mkeo, mpe mapenzi ya ukweli kwakua hiyo ni kazi yako ya awali ya kuitwa mume.. Unalalamika lalamika.. Kula kula vijichips na kudeka deka..


Mkeo apike, akusafishie nyumba, awatunze watoto, ahakikishe umependeza, umeshiba na unaafya nzuri, usiku umlale tena sanyingine bila ridhaa yake! Ukijisikia tu, unampiga makofi na kumlala, siku yeye akijisikia anataka kulalwa hutaki.. Mwisho wa mwisho unataka kupendwa!! Eboooo.. Acha uk**nina!! Mi nachukia sana sisi wanaume wengine tulivyo..

BBZ10
 
Hayo yote nafanya kama nimempenda kwa dhati, lakini wanaume wengine mkipendwa mnatunyanyasa, ndo maana sahv nami nina roho ngumu maana nilipewa somo.
 
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.
.
.
4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.
.
.
5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.
.
.
6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.
.
.
7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.
.
.
8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.
.
.
9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.
.
.
10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.
.
.
11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.
.
.
KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.

Niko hapa mpendwa....
 
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.
.
.
4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.
.
.
5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.
.
.
6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.
.
.
7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.
.
.
8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.
.
.
9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.
.
.
10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.
.
.
11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.
.
.
KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.
Mie mmoja wapo....karibu unitembelee
 
Aisee nakataa wapo. Wa kwangu yupo hivyo amenivumilia sana na amekua nami nyakati zote. Ananipenda mpaka najishtukia kucheat na tangu nipo naye sihitaji mwingine. Yaani anaweza kuwa anaumwa lakini bado akanionea huruma akanipa mchezo. Mwingine si ningekula tusi.
 
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.
.
.
4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.
.
.
5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.
.
.
6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.
.
.
7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.
.
.
8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.
.
.
9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.
.
.
10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.
.
.
11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.
.
.
KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.
kama unanisema vile
 
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.
.
.
4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.
.
.
5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.
.
.
6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.
.
.
7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.
.
.
8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.
.
.
9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.
.
.
10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.
.
.
11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.
.
.
KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.
mimi
 
Kumbe hujui?! Walipoteaga na ndege ya Malaysia ila nimebaki mimi tuuuu......na sitaki uje unitembelee.
 
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.
.
.
4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.
.
.
5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.
.
.
6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.
.
.
7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.
.
.
8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.
.
.
9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.
.
.
10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.
.
.
11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.
.
.
KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.
Mmeshawavuruga sasa mnavuna matunda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom