iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 287
Ukitaka kufanikiwa kwenye biashara hii inatakiwa uiHESHIMU sana. na big drivers kwenye hii sector ni GREED and FEAR. you master those two and you are a winner, over and over and over...
Hamna mkuu bukoba boy ni interest tu unachokipenda kwa dhatiUshawah fanya kazi wall street nini? Manake articles zako ni balaa
Somehow i concur with you. Ila sio sawa ukisema ni money laundering wakati hii business ipo regulated na taasisi kubwa za kifedha.Nimesikia hii biashara ni money laundering aiseee,,,,,,,,,NA KULE JELA NI PAZURI KWA WABABE TU,WANYONGE HUOLEWA HATA KAMA NI WANAUME!
Tofauti ipo kubwa sana mkuu forex trading haiwezi kuwa betting unafanya mistake kuziweka pamoja.Hii ni sawa Na michezo ya betting haina tofauti..
Wadau mwenye ujuz na mambo ya forex trading nahitaj msaada kidogo tafadhali 0787999851
0784474122 au 0763231410
BBZ10