Recent content by madhabaunyeusinyeusi

  1. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Chakula kipo kingi

    Kina ngosha hao
  2. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Msongamano wa magari Dubai.

    Makini mkuu mbona hakuna msongamano wapo kwenye mtirrki mzuri na kizur zaidi magar yote hapo unform tofauti na bongo utakuta rolly au likontena
  3. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Pitia hapa huenda utanikumbuka

    Du! Kweli mkuu wasomi wengi walipoteza muda kule mashuleni kutafta utajiri Wa vyeti na wasio soma walitumia muda mwigi kutafuta pesa na utajiri wa mali na kibaya zaidi wasomi walio wengi ni wavivu mnoo at a kuuuza nyanya tu kipndi cha jioni wanaona aibu ndio chanzo cha umaskkni
  4. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Tawala za inchi hii naambatana na udini

    Kuna ka kitu nimekagundua maraisi wote walio pita walikua na uwiano Wa kidni ingawa inchi yetu haingozwi kidini awamu ya kwanza baba Wa taifa mkristo akaja muislamu,akaja mkristo,akaja muslamu,akaja mkristo nafikiri awmua ya sita,,,,,,,? Wana JF au viongozi wa dini hizo huwa wanshirkishwa kuleta...
  5. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Kwanini makampuni makubwa ya mafuta SHELL na BP yalijiondoa kufanya biashara Tanzania?

    Mmmm mzee Wa pwani alikua huru kwa kufanya lolote
  6. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Jamani biashara hii ya daladala ni pasua kichwa

    Aina gani ya daldala tukushauri
  7. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

    Kula nyama kila sku afu tupia Ka BALIMI ka 1 kila siku utaona mafanikiao
  8. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Nile nini ili nipugue ??

    Weka picha afu tukushauri
  9. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini Tofauti ya Jeneza na Sanduku la Maiti

    Vyote ni vifaa vya kubebea maiti IPA jeneza ni neno la kiharabu waweza ita sanduku(box)
  10. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika makande

    Kwa kweli kande hata uzpambe kwa Mayai,maziwa nk haziwagi tamu
  11. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

    Unataka kuniambai wahaya wanawazidi waarusha kwa uzuri Wa sura na shape au wairaq wote toka A town
  12. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Wapare, Wahaya, Wajita: Kabila gani wanapenda sifa sana?

    Wamasai ndio Wa kwanza kwa misifa
  13. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke simwelewi

    Mnunjlie pipi atakubali
  14. madhabaunyeusinyeusi

    JamiiForums Tanzania Kama nikianzisha Chama cha Siasa:

    Jinsia hakuna
Back
Top Bottom