Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
- Thread starter
- #21
Hiyo
Yote ni kutaka kula ruzuku
HILI NI WAZO TU NA WALA SIO RUZUKU.
Hiyo
Yote ni kutaka kula ruzuku
Bila Tundu Lissu haitanoga
Ivi kwa nini mkuu tusifungue chuo kwanza cha siasa tuwafunde vijana mimi majengo ninayo kama upo tayari niambie tufanye kazi.
Matokeo ya uongozi,
Mchange atakupiga, adam changulani atakusaliti, ben saanane atarudi chadema
Haitapendeza kwani chama utakiweka mfukoni
Nikushauri kitu mkuu? Labda utafute mataahira wenzio na sio hao uliowaweka hapo!
Kwanini mtu kama wewe usipewe wizara mojawapo nyeti kati ya Wizara ya afya,Ofisi ya rais,Wizara ya ulinzi na JKT,Wizara ya elimu au Nishati na madini lakini pia Wizara ya fedha unafit bila shida. Mimi roho inaniuma kuina adhina kama wewe unaachwa tu nchini mwetu bila kazi yoyote wewe ulitakiwa uwe ikulu kwa ajili ya kupanga mikakati natumai serikali yetu sikivu inakuona na italifanyia kazi au wewe mwemyewe ndio utaki?SWALA LA CHUO KUFUNDA WANASIASA NI JEPESI, ILA SWALA HILI BWANA NI LAKICHAMA AMBAPO MHUSIKA ANATAKIWA KUKIFUNDA CHAMA CHAKE. UNAPOFUNGUA CHUO INAMAANA HUNA MPANGO WA KUWA NA CHAMA. KAMA NI CHUO KUNA KOZI ZA POILITICAL SCIENCE.
Kwanini mtu kama wewe usipewe wizara mojawapo nyeti kati ya Wizara ya afya,Ofisi ya rais,Wizara ya ulinzi na JKT,Wizara ya elimu au Nishati na madini lakini pia Wizara ya fedha unafit bila shida. Mimi roho inaniuma kuina adhina kama wewe unaachwa tu nchini mwetu bila kazi yoyote wewe ulitakiwa uwe ikulu kwa ajili ya kupanga mikakati natumai serikali yetu sikivu inakuona na italifanyia kazi au wewe mwemyewe ndio utaki?
MwanaCCM aliyekosa msimamo huyu. Ulidhani kwa kuhamia kwako Umagambani ungetoka kisiasa na kimaisha, kumbe wapi, umepotea mazima.
Na Wanachama wako watakuwa na akili kama zako.
Bangi ya Tabora haiishi mwilini haraka.