Duh umenikumbusha mbali mdau. Joram kiango alikuwa ni noma hasa kile kitabu cha tutarudi na roho zetu. Ila sikuwahi kujua kwamba ni marehemu. Duuh may his soul rest in peace.
Yah wanaboa sana hawa jamaa sazingine mtu ajamaliza kuelezea jambo wao wanarukia akafu yule mwingine kwanini asiwe smart? ?yani ile minywele yake na zile ndevu utadhani beberu.
I second u mdau. Kweli kikwete katuchoka anatufanyia makusudi ya wazi kabisa kisa yeye karibu anaondoka. Kumpa Mwigulu u waziri ni kutukosea heshima watanzania. Mbaya zaud Hawa ghasia kabaki palepale eee. Aya bana tunashukuru
Duh kweli wewe kukudume. Waslam mnatabu sana. Eti na wewe unajiita great thinker. Kuhusu mwigulu hapo rais wangu amebugi mnoooo tena sana. Naona ata yeye (analijua ilo). Cjui ni nani ameiloga nchi yangu ,kikwete aliona ata aibu kusoma aayo majina akaona bora aende kupokea rungu cjui fimbo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.