Live TBC1: Mawaziri wanaapishwa

Live TBC1: Mawaziri wanaapishwa

Kavaa liskafu lake yani hata hafananii jamani. Yeye mwenyewe(mwigulu) haamini. Haya ni matusi kwa watanzania

Kavaa liskafu ndani kavaa jezi ya Taifa stars, kama state house inashindwa kusimamia dressing code basi makasino yana uongozi bora kuliko ikulu dhaifu.

Hivi jamani hata namna ya kuvaa suti tunahitaji mwekezaji au mshauri mwelekezi?
 
Hata waape haisaidii kitu. Kiapo hakina mfuatiliaji kwa ajili ya kuadhibu wanaokiuka kiapo. Anayebisha apinge!
 
Mungu awatangulie na kuwaongoza katika kutekeleza majukumu ya nafasi zao mpya. Wafanye kazi na kutimiza yale yote yanayotakiwa kutoka kwao kwa mujibu wa sheria za nchi. Ni kwa kufanya hivyo ndipo wataweza kuliponya taifa hili kutokana na uovu unaoendelea sehemu mbalimbali hasa unaohusiana na maliasili za taifa letu

AMEEEN! Tunatakiwa kuwaombea na si kuanza kuwalaani.
 
Muda huu ndio Raisi Kikwete amewasili katika viwanja vya Ikulu na zoezi la kuapishwa mawaziri ndio limeanza ambapo wanakula kiapo hicho mbele ya Raisi Kikwete.

Dr.Husseim Mwinyi ndio amekuwa wa kwanza akifuatiwa na Mathias Chikawe.

sina hata hamu ya kuwaona wakiapa .
 
Kavaa liskafu ndani kavaa jezi ya Taifa stars, kama state house inashindwa kusimamia dressing code basi makasino yana uongozi bora kuliko ikulu dhaifu.

Hivi jamani hata namna ya kuvaa suti tunahitaji mwekezaji au mshauri mwelekezi?

Mkuu Matola kama inawezekana tupia hata picha

Wengine tuko mbali ...Huyu jamaa haishi vituko..😉
 
Last edited by a moderator:
Muda huu ndio Raisi Kikwete amewasili katika viwanja vya Ikulu na zoezi la kuapishwa mawaziri ndio limeanza ambapo wanakula kiapo hicho mbele ya Raisi Kikwete.

Dr.Husseim Mwinyi ndio amekuwa wa kwanza akifuatiwa na Mathias Chikawe.

Iwapo Dr.SLAA ndo angekuwa Rais, hapo ungesikia majina ya mawaziri kama, josephine , joyce mukya, kileo, yericko, ben masumu, lema, mbowe, mnyika,sugu.
 
Kavaa liskafu ndani kavaa jezi ya Taifa stars, kama state house inashindwa kusimamia dressing code basi makasino yana uongozi bora kuliko ikulu dhaifu.

Hivi jamani hata namna ya kuvaa suti tunahitaji mwekezaji au mshauri mwelekezi?

na Leo kavaa scarf!!!!!!!sijui nani huwa anamdanganya huyu mtu jamani
 
mimi nimeshtushwa na vazi la mwigulu kwani hata kama kweli inaifeel nchi kivile, kuvaa T-shirt na suti kidogo kwa dhima ya kitaifa kama ile hapana : sikuwahi hata siku moja kuona vazi la namna hiyo, na it tells how confident he is but still,ni over confidence katika eneo kama lile kwa wakati ule
 
Hivi huyu jamaa hana mke wa kumshauri mavazi? Anawatia aibu sana wanyiramba.

Ina maana Mushumbuzi hajui kazi yake? Maana kile kibabu Kikivalishwa Suti utadhani kavaa Sweta Mikono inavoelea, hajui Wapi pa kuvaa Combat wapi pa kuvaa Suti, Halafu ile Mitai anayovaaga inauzwa kwa Kilo tshs 5,000/ akivaa utadhani kaning'iniza Panga Shingoni.
 
Muda huu ndio Raisi Kikwete amewasili katika viwanja vya Ikulu na zoezi la kuapishwa mawaziri ndio limeanza ambapo wanakula kiapo hicho mbele ya Raisi Kikwete.

Dr.Husseim Mwinyi ndio amekuwa wa kwanza akifuatiwa na Mathias Chikawe.
Wizara ya elimu ni sawa na Kutoa mlango na kuweka pazia ili kuzuia wezi. Inaudhi kwa elimu yetu.
 
Back
Top Bottom