Recent content by Lyaka mlima

  1. Lyaka mlima

    UDSM ni chuo dhaifu sana Afrika "Aibu kwa nchi"

    Ngono tu hapo hall 2, na hall 3 Pia siasa zimejaa siku hizi kuliko kazi
  2. Lyaka mlima

    Prof Kabudi: Kiswahili kinapotoshwa, neno Fisadi maana yake ni mtu anayetongoza wake za watu

    Ufisadi ni kila uharibifu, zinaa ni katika mafisada, wizi ni katika mafisada.. Ufisadi waweza kuwa material things au pia spiritul things, eg kuabudu miti, wanyama, na mizimu ni katika ufisadi pia. Hapa naongelea etymology ya neno المفسدة/ kwa waarabu hukusudia hivyo. Amma kwa waswahili huenda...
  3. Lyaka mlima

    Prof Kabudi: Kiswahili kinapotoshwa, neno Fisadi maana yake ni mtu anayetongoza wake za watu

    Kuchakachua kwa lugha ya kiingereza ni fraudulent siyo lazima iwe kimiminika bali hata unga mzuri ukiuchanganya na mbovu.
  4. Lyaka mlima

    Prof Kabudi: Kiswahili kinapotoshwa, neno Fisadi maana yake ni mtu anayetongoza wake za watu

    Ufisadi/Fasada/المفسد ni uharibifu bila kujali wa aina gani,mzinifu ni fisadi maana anaeneza uharibifu katika jamii, mwizi ni fisadi maana anawadhuluma na anakula mali za watu kwa batili, kusengenya ni ufisadi maana maafa yaweza kutokea kwa sababu ya kusengenya, hivyo ufisadi ni kila aina ya...
  5. Lyaka mlima

    Je neno''Kusondeka ndani'' ni Kiswahili Sanifu?

    Any way lugha hukua na kuenea , maendeleo hayana vyama tumuunge mkono mkulu
  6. Lyaka mlima

    Je neno''Kusondeka ndani'' ni Kiswahili Sanifu?

    Kusondeka ndani maana yake ni kuwajaza ndani wote, yaani kusondeka hutumika kuashiria ujazo uliopitiliza kiwango
  7. Lyaka mlima

    Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

    TBC HAWAONESHI PASAKA KWANI ?
  8. Lyaka mlima

    Watu waliokufa kipindi ambacho hata dini ya ukristo na uislam hazijaanzishwa wako wapi kama tunajiaminisha kwa kusema dini humfanya mtu kuona pepo?

    Dini ilianza kabla ya mwanadamu. Nabii Aadam Alayh salaam alikuwa muislamu na wote waliofuata walikuwa waislamu. Ama kuhusu ukristo ni dini za watu hasa warumi ndio dini yao wala hata mungu haijui
  9. Lyaka mlima

    Kwanini Mamlaka za Tanzania hadi sasa hazijatangaza kuwa Mama Maria Nyerere ameugua ghafla na kalazwa Uganda?

    Wewe ni msemaji wa familia ya mama maria nyerere? Watch it and be carefully!
Back
Top Bottom