Ufisadi ni kila uharibifu, zinaa ni katika mafisada, wizi ni katika mafisada..
Ufisadi waweza kuwa material things au pia spiritul things, eg kuabudu miti, wanyama, na mizimu ni katika ufisadi pia.
Hapa naongelea etymology ya neno المفسدة/ kwa waarabu hukusudia hivyo.
Amma kwa waswahili huenda...
Ufisadi/Fasada/المفسد ni uharibifu bila kujali wa aina gani,mzinifu ni fisadi maana anaeneza uharibifu katika jamii, mwizi ni fisadi maana anawadhuluma na anakula mali za watu kwa batili, kusengenya ni ufisadi maana maafa yaweza kutokea kwa sababu ya kusengenya, hivyo ufisadi ni kila aina ya...
Dini ilianza kabla ya mwanadamu.
Nabii Aadam Alayh salaam alikuwa muislamu na wote waliofuata walikuwa waislamu.
Ama kuhusu ukristo ni dini za watu hasa warumi ndio dini yao wala hata mungu haijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.