Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufisadi hasa ni uharibifu wa mali na maisha ya viumbe (material things)-- uzinzi na wizi nk, huo hauitwi ufisadi.
Ufisadi ni kila uharibifu, zinaa ni katika mafisada, wizi ni katika mafisada..
Ufisadi waweza kuwa material things au pia spiritul things, eg kuabudu miti, wanyama, na mizimu ni katika ufisadi pia.
Hapa naongelea etymology ya neno المفسدة/ kwa waarabu hukusudia hivyo.
Amma kwa waswahili huenda wamelipunguzia matumizi yake, na hii ni athari ya kutohoa maneno kwa kuingiza au kutokuingiza visawe katika lugha lengwa.
Ufisadi ni kila uharibifu, zinaa ni katika mafisada, wizi ni katika mafisada..
Ufisadi waweza kuwa material things au pia spiritul things, eg kuabudu miti, wanyama, na mizimu ni katika ufisadi pia.
Hapa naongelea etymology ya neno المفسدة/ kwa waarabu hukusudia hivyo.
Amma kwa waswahili huenda wamelipunguzia matumizi yake, na hii ni athari ya kutohoa maneno kwa kuingiza au kutokuingiza visawe katika lugha lengwa.
Alikuwa waziri wa sheria, mbona hakufanya hayo?hayo umesema wewe lakini tunategemea KATİBA MPYA kutoka kwa Prof.Kabudi kama akishika madaraka makubwa zaidi