Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,505
- 41,014
Miaka ya nyuma mara moja kiliwahi kuwa cha 3 kwa ubora barani Afrika. Kwa sasa kila mwaka kinazidi kuning'inia. Naona hawa wapumbavu waliookotwa jalalani ndio walioifanya UDSM kuwa jalala badala ya kuwa chanzo cha maarifa na msingi wa mafanikio.Aibu kwa lipi sasa, kwani wewe ulitaka kiwe cha ngapi?