Jamani kwa mtizamo wangu coni kama ni mda muafaka wa kukumbushana mauaji ya kimbali kule rwanda tuwaache wanyarwanda waijenge nchi yao izi ideologies za hutu na tutsi tuziache na afrika isongembele
Hongereni wachezaji pamoja na bench la ufundi la simba kwa ushindi mnono,simba oyeee ila rage tuachie timu yetu we nenda kwenye siasa mdanganyane vizuri
Unajua tatizo ni mfumo wa elimu tz ulivyo hoja zenu zinanikumbusha maisha ya sec kwa kua hazina mashiko comptence ya mtu au chuo upimwa kulingana na how competence he/she is kwa ujumla ni product ya chuo ilivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.