Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,472
ndio maana nikasema ni long story sema nimeifupisha
Btw Huyu alikua mpangaji mwenzangu nilivyokua college maeneo flani..
kwenye mkataba kuna kipengele kinachokataza ku"smook" weed?
Hiyo familia duu baba chapombe mama chaweed sijui mtoto atakuwaje!what a wonderful family!