Ila maisha kiukweli hayapo fair kuna mtu anasota kupata kazi na yupo tayari kabisa hadi kutoa kiwanja na kuna bwana mdogo yeye hataki kabisa kusikia habari hiyo.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Kwahiyo anakukumbuka katika shida tu? Zikisha tatulika mambo yakiwa sawa anarudia matapishi. Hawa viumbe bana, sasa kama alileta dharau kabla akijua wazi wewe una msaada mkubwa kwanini alifanya vile?
Lakini kama umewiwa kumsaidia kibinadamu tu fanya ila siyo urudishe habari za kusameheana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.