Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Mimi naweza kaa miaka 50 bila kufanya kazi na pesa ikawa inaingia tu na kama una dada au wewe mwenyewe pia nikakuoa.... Maisha ni rahisi tu....msi complicate sana. Hatufanani. We umeshaolewa? Dadizo je?
Kwa hiyo tuseme ushauri wangu uligusa kwenye kidonda kibichi ukakuuma, basi pole.

Nasema pole kwa sababu, thread yako hiyo niliitumia kama 'shamba darasa' kwa vijana wote wanaojaliwa vipato vya maana na kisha vipato vyao hivyo wakavichezea na visilete impact ya maana kwao wenyewe na pia kwa jamii na sijakuattack personal.

Kusema waweza kaa miaka 50 na pesa ikawa inaingia tu nk, hayo ni majigambo yasiyonihusu mimi, ni mambo yako binafsi.

Jitahidi kujizuia mihemko unapokuwa umeanzisha uzi, kwa sababu maoni na mijadala haiepukiki.

Nasema tena pole sana kijana.
 
Ungesema umevinunua mnadan. Kwan vina jina lako
Nilishachukua kirukuu nikasomba vitu vya malaya niliyempangishia Sinza. Nikafika navyo home nikaulizwa nikakosa jibu cha maana tu vinatumika na watoto wana TV yako. Sifanyi ujinga tena wa kumpangishia Demu malaya chumba.
 
Kwa nini wewe unaumia kwa pesa yangu?😂😂😂😂😂Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat. Unatamani wewe ndo ungenitapeli?😂😂😂😂

Kwa hiyo tuseme ushauri wangu uligusa kwenye kidonda kibichi ukakuuma, basi pole.

Nasema pole kwa sababu, thread yako hiyo niliitumia kama 'shamba darasa' kwa vijana wote wanaojaliwa vipato vya maana na kisha vipato vyao hivyo wakavichezea na visilete impact ya maana kwao wenyewe na pia kwa jamii na sijakuattack personal.

Kusema waweza kaa miaka 50 na pesa ikawa inaingia tu nk, hayo ni majigambo yasiyonihusu mimi, ni mambo yako binafsi.

Jitahidi kujizuia mihemko unapokuwa umeanzisha uzi, kwa sababu maoni na mijadala haiepukiki.

Nasema tena pole sana kijana.
 
Kwa nini wewe unaumia kwa pesa yangu?😁 Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat...😂

Huwa ni vibaya sana japo inachekesha kupanic alafu unajibizana na annonymous public figures. reserve ur anger
 
Huyo jamaa sijui ni msukuma wa wapi sijui.
Ameleta uzi humu watu wanamfundisha ili siku nyingine awe mjanja analeta ujuaji usio na maana na matusi ya ajabu halafu eti anajiita bosi.
Hivi kampuni yenye kujielewa inaweza kumpa ubosi pimbi kama yule.
Ukimkabidhi ofisi ukamwamini si ataifilisi kampuni maana hajitambui hata watu wakija kwa ugia ya utapeli na biashara fake litatoa pesa halafu baadae litaanza kujitetea kampuni ina hela nyingi hakuna wasiwasi.

Mkuu achana naye, sometimes watu kama hawa ni wa kuhurumiwa. kama una uelewa wa psychology japo kidogo utagundua jamaa anapitia kipindi kigumu. Kwa maumivu aliyo nayo alitarajia alivyopost humu tutampa pole na kumuona mjanja. sasa amekutana na kinyume chake so anapanic japo mi sioni sababu. anachokifanya kuwabwatykia watu ni sawa na kukimbiza upepo.
 
Mkuu achana naye, sometimes watu kama hawa ni wa kuhurumiwa. kama una uelewa wa psychology japo kidogo utagundua jamaa anapitia kipindi kigumu. Kwa maumivu aliyo nayo alitarajia alivyopost humu tutampa pole na kumuona mjanja. sasa amekutana na kinyume chake so anapanic japo mi sioni sababu. anachokifanya kuwabwatykia watu ni sawa na kukimbiza upepo.
Kweli nimegundua tulivyochangia tumemuongezea maumivu na stress sasa anatafuta mahala pa kuzipunguzia
 
Kweli nimegundua tulivyochangia tumemuongezea maumivu na stress sasa anatafuta mahala pa kuzipunguzia
Kwa nini wewe unaumia kwa pesa yangu?😂😂😂😂😂Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat. Unatamani wewe ndo ungenitapeli?😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom