Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,170
- 12,219
Kwa hiyo tuseme ushauri wangu uligusa kwenye kidonda kibichi ukakuuma, basi pole.Mimi naweza kaa miaka 50 bila kufanya kazi na pesa ikawa inaingia tu na kama una dada au wewe mwenyewe pia nikakuoa.... Maisha ni rahisi tu....msi complicate sana. Hatufanani. We umeshaolewa? Dadizo je?
Nasema pole kwa sababu, thread yako hiyo niliitumia kama 'shamba darasa' kwa vijana wote wanaojaliwa vipato vya maana na kisha vipato vyao hivyo wakavichezea na visilete impact ya maana kwao wenyewe na pia kwa jamii na sijakuattack personal.
Kusema waweza kaa miaka 50 na pesa ikawa inaingia tu nk, hayo ni majigambo yasiyonihusu mimi, ni mambo yako binafsi.
Jitahidi kujizuia mihemko unapokuwa umeanzisha uzi, kwa sababu maoni na mijadala haiepukiki.
Nasema tena pole sana kijana.