Kanyenye ndo sana kwasababu maeneo yote ya kujidai yanapatikana hukoMkuu Isevya huko nilikuwa napita tu kuna rafiki yangu alikuwa anaishi Kanyenye ila sijawahi kutembelea sana,kuna warembo huo mtaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanyenye ndo sana kwasababu maeneo yote ya kujidai yanapatikana hukoMkuu Isevya huko nilikuwa napita tu kuna rafiki yangu alikuwa anaishi Kanyenye ila sijawahi kutembelea sana,kuna warembo huo mtaa?
Wapo. Natafuta mwingine mkali naye nimtafutie room sehemu akinizungua tu napasua pasua ... Kila kitu. Room nalipia miezi miwili tu.Mkuu Isevya huko nilikuwa napita tu kuna rafiki yangu alikuwa anaishi Kanyenye ila sijawahi kutembelea sana,kuna warembo huo mtaa?
Hujawajua vizuri wahuni wa Tabora wewe ngoja wakukate miguu yako ndio utatia akili,umeenda kujifunzia mahali pabayaWapo. Natafuta mwingine mkali naye nimtafutie room sehemu akinizungua tu napasua pasua ... Kila kitu. Room nalipia miezi miwili tu.
Nitafutie mtoto mmoja mzuri wa kiarabu likizo nije kula bata hukoKanyenye ndo sana kwasababu maeneo yote ya kujidai yanapatikana huko
Kama Kwa Mchepuko kuvunja hivyo. Ngoja aje Agongewe mkewe. Maumivu atakayopata sijui itakuwajeWewe ni mshamba sana
Mkuu tema mate chini. Mapenzi ya kweli si pesa. Umeona Yaliyokukuta Umeiamini Pesa Itakutunzia MalayaWee acha unajua kutokuwa na uzoefu na bidada nlitegemea angetulia shida si pesa? Mi vipesa vidogo dogo ninavyo havinisumbui kabisa.
Mi mhuni Mbaya .....🤣🤣🤣🤣shukuru tu napenda kuwa hivi bwege. Tabora hamna mhuni... Nimekaa Arusha,Mara,Mbeya,Dar,Nairobi... Tabora hamna wahuni.Hujawajua vizuri wahuni wa Tabora wewe ngoja wakukate miguu yako ndio utatia akili,umeenda kujifunzia mahali pabaya
Hivyo ni vitu vidogo sana.... Yaani hivyo si issue. Mi nmeshare uzoefu tu. Huto tu jicent tusiwaumize kichwa kabisaKama Kwa Mchepuko kuvunja hivyo. Ngoja aje Agongewe mkewe. Maumivu atakayopata sijui itakuwaje
Yaani Ukirudi ukapiga Tu Kwisha. Unakuta Ushawekewa na Mambo yao ya Kiswazi. Kimbia kabisaHalafu huwa wanalalamika kuwa sisi wanaume wabaya kumbe ubaya wanauanza wenyewe. Sasa anapiga simu na kutuma texts kila wakati kuwa nimsamehe kwa kuwa yule alikuwa mtu wake wa kitambo. So akawa hana namna. Hata kumjibu najisikia uvivu.
Una mawazo mfu. Angalia Tabia Ya Huyo Mdada malaya Toka Lini Akaridhika. Jamaa ni mgeni tu Tabora ndio yamemkutaTatizo itakua ni wewe.
Ungewekeza katika kukuza uume na kuongeza nguvu za kiume.
Nahisi huyo bidada humridhishi.
Weekend hii ntakuwa Tabora.Ni kweli Tabora hakuna uhuni wa kuogofya.Pia kuna totoz daraja la kati kwenye maeneo ya starehe kulingana na taarifa ya mnywaji mwenzangu.Mi mhuni Mbaya .....shukuru tu napenda kuwa hivi bwege. Tabora hamna mhuni... Nimekaa Arusha,Mara,Mbeya,Dar,Nairobi... Tabora hamna wahuni.
Wewe unajua kuwa kule Tabora ndio chimbuko la majambazi na wezi sugu?Weekend hii ntakuwa Tabora.Ni kweli Tabora hakuna uhuni wa kuogofya.Pia kuna totoz daraja la kati kwenye maeneo ya starehe kulingana na taarifa ya mnywaji mwenzangu.
Napenda sana kusikiliza na kucheza nyimbo za zamani za band pale oksijeni.
Nilla na Mgeni....Darasa la kina Nilla Jackson?
Mgeni Makambi?
Au kina Omary Zuberi na Masumbuko Thabiti
Ha ha haKama wewe ni bosi, sijui hao unaowaongoza wapoje. Maana unaonekana mshamba sana!