Recent content by Lukub

  1. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii tabia ya kutaka baba wa familia afukuzwe KAZI sio utu na utulivu ,fikiria wewe ni mtoto wa Slot baba Yako asakamwe sio poa
  2. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Pep atachukuwa hili lidude mtaani kelele zitakuwa ndogo sisi wengine team zetu zijipange ,tuwe watulivu mkuu
  3. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kocha ksifundishs feyenoid na kabeba epl unataka kocha yupi tofauti na huyu?
  4. Lukub

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nafikiri Kufukuzana na pep kwenye ubingwa ni nightmare Kwa arsenal,Pep anatisha linapokuja jambo la ubingwa wa ligi kuku na kaongea zaidi ya mara tatu baada ya January tutaoona.
  5. Lukub

    Wana Yanga SC wenzangu hapa JF vipi hatuna Mpango wa Kumsajili huyu aliyetulaza mapema Malawi leo?

    Michuano hii Ina namna ya kucheza kusanya Simba B wanakabutua ka team kutoka Malawi ,sio wachezaji ni mentality ya michuano
  6. Lukub

    Folz amekufukzwa kihalali kabisa! Yanga bado ina nafasi ya kufuzu

    Tumekubaliana makocha wetu Wana vyeti na Wala hawana tattoo ni mwendo wa CV tu
  7. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Benja kama Benja kafufuka ana ugwadu ,atahakikisha Arsenal wote Wana furaha
  8. Lukub

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tumefurahi kwakweli
  9. Lukub

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Umepatia kabisa ulichopaswa kuandika ni Brentford 3 na Manchester united 1 ,ulikuwa na idea kama ningekuwa mwalimu ungepata 2.5/100
  10. Lukub

    GE2025 Kwanini Serikali huwa inawaajiri Mawakili wenye uwezo mdogo sana?

    Mawakili wote wamesoma vyuo vinavyofanana waserikali na wasio waserikali ila kinachowatofautisha sio akili ni mazingira ya kufanya KAZI kuna mmoja yupo huru mwingine amewekewa mipaka
  11. Lukub

    GE2025 Wajue Audience wa CCM na Chadema

    Maprofesa na madaktari waliojaa CCM ni kundi lipi maana wamejaa na kufurika.Na ndio wasomi wakubwa
  12. Lukub

    Hivi watoto wawili wengine wa Rais Samia ni kina nani na wanafanya shughuli gani? Hawahusiki kwenye mambo haramu?

    Ni haki Yao kutokujulikana maana ni chaguo Lao ni watu wazima ,pengine hawataki mambo ya Siasa kabisa
  13. Lukub

    Magori ni kiongozi asiye na hekima, Mo Dewji umetuletea bomu wanasimba

    Umewahi kuwa Kiongozi hata wa familia ?
  14. Lukub

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    Fitness level ya watu wengi wa usalama ni ndogo hawafanyi mazoezi.inaweza kupita mwezi hata stretching mtu hajafanya.
  15. Lukub

    Je mayai ya nyoka yakiwa fresh yanafaa Kwa kitoweo?

    Kwa msaada wa AI sio salama Kwa sababu mayai ya nyoka wengi yanabeba bakteria hatari wanaoitwa salmonella ni hatari Kwa tumbo,pia mayai ya nyoka yanabeba protein zenye madhara (sumu),hayajathibitishwa kuwa na virutubisho vinavyo faa Kwa binadamu.
Back
Top Bottom