Hakuna goli buyern anaweza funga psg asifunge itaendelea kuwa funga ni kufunge mwenye uwezo wa kuzuia ndio atapita ni wote hawajui kuzuia ila psg ana kauafadhali
Mambo ya nchi kusema tuliwasaidia kupata uhuru yamepitwa na wakati hakuna nchi inayotawaliwa na wakoloni moja Kwa moja mpaka sasa uhuru ungepatikana tu ,mtu asiseme kama sio juhudi za Fulani uhuru tusingeupata Hakuna jambo la hovyo kama hili ,point yangu ni hakuna nchi Afrika inatawaliwa na...
Uwezo wa kiufundi wa wachezaji wa arsenal 99 percent ni mdogo ,nguvu ndio sulaha Yao kubwa,mchezaji wa maana ni EZE ndio anaweza match ufundi wa wachezaji wa city na Arteta alijipiga risasi alipomtoa .
Nafikiri Kufukuzana na pep kwenye ubingwa ni nightmare Kwa arsenal,Pep anatisha linapokuja jambo la ubingwa wa ligi kuku na kaongea zaidi ya mara tatu baada ya January tutaoona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.