Recent content by Lukub

  1. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Ni maajabu kusema Ufaransa alizidiwa uliangalia mpira ulisimuliwa? team anapiga come back na kukosa big chances nyingi Kisha inazidiwa ?
  2. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kikosi bora cha Brazil cha muda wote hiki hapa

    Neno muda wote liondoe unatukera
  3. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: PSG 5 - 4 Bayern München | UEFA Semi Final First Leg | Parc des Princes | 28 Aprili 2026

    Hakuna goli buyern anaweza funga psg asifunge itaendelea kuwa funga ni kufunge mwenye uwezo wa kuzuia ndio atapita ni wote hawajui kuzuia ila psg ana kauafadhali
  4. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: PSG 5 - 4 Bayern München | UEFA Semi Final First Leg | Parc des Princes | 28 Aprili 2026

    Na hapo Bado Fabian Ruiz hayupo fit kiufupi Bayern anspigwa nje ndani safi kabisa
  5. Lukub

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea katika nchi ya Afrika Kusini ni ishara Gani?

    Mambo ya nchi kusema tuliwasaidia kupata uhuru yamepitwa na wakati hakuna nchi inayotawaliwa na wakoloni moja Kwa moja mpaka sasa uhuru ungepatikana tu ,mtu asiseme kama sio juhudi za Fulani uhuru tusingeupata Hakuna jambo la hovyo kama hili ,point yangu ni hakuna nchi Afrika inatawaliwa na...
  6. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Uwezo wa kiufundi wa wachezaji wa arsenal 99 percent ni mdogo ,nguvu ndio sulaha Yao kubwa,mchezaji wa maana ni EZE ndio anaweza match ufundi wa wachezaji wa city na Arteta alijipiga risasi alipomtoa .
  7. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii tabia ya kutaka baba wa familia afukuzwe KAZI sio utu na utulivu ,fikiria wewe ni mtoto wa Slot baba Yako asakamwe sio poa
  8. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Pep atachukuwa hili lidude mtaani kelele zitakuwa ndogo sisi wengine team zetu zijipange ,tuwe watulivu mkuu
  9. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kocha ksifundishs feyenoid na kabeba epl unataka kocha yupi tofauti na huyu?
  10. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nafikiri Kufukuzana na pep kwenye ubingwa ni nightmare Kwa arsenal,Pep anatisha linapokuja jambo la ubingwa wa ligi kuku na kaongea zaidi ya mara tatu baada ya January tutaoona.
  11. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wana Yanga SC wenzangu hapa JF vipi hatuna Mpango wa Kumsajili huyu aliyetulaza mapema Malawi leo?

    Michuano hii Ina namna ya kucheza kusanya Simba B wanakabutua ka team kutoka Malawi ,sio wachezaji ni mentality ya michuano
  12. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Folz amekufukzwa kihalali kabisa! Yanga bado ina nafasi ya kufuzu

    Tumekubaliana makocha wetu Wana vyeti na Wala hawana tattoo ni mwendo wa CV tu
  13. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Benja kama Benja kafufuka ana ugwadu ,atahakikisha Arsenal wote Wana furaha
  14. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tumefurahi kwakweli
  15. Lukub

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Umepatia kabisa ulichopaswa kuandika ni Brentford 3 na Manchester united 1 ,ulikuwa na idea kama ningekuwa mwalimu ungepata 2.5/100
Back
Top Bottom