Nafikiri Kufukuzana na pep kwenye ubingwa ni nightmare Kwa arsenal,Pep anatisha linapokuja jambo la ubingwa wa ligi kuku na kaongea zaidi ya mara tatu baada ya January tutaoona.
Mawakili wote wamesoma vyuo vinavyofanana waserikali na wasio waserikali ila kinachowatofautisha sio akili ni mazingira ya kufanya KAZI kuna mmoja yupo huru mwingine amewekewa mipaka
Kwa msaada wa AI sio salama Kwa sababu mayai ya nyoka wengi yanabeba bakteria hatari wanaoitwa salmonella ni hatari Kwa tumbo,pia mayai ya nyoka yanabeba protein zenye madhara (sumu),hayajathibitishwa kuwa na virutubisho vinavyo faa Kwa binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.