Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaambiwa huyu bibi hajawahi kuona Arsenyembo akishinda epl 😂

Na hapa alikuwa kwenye mfungo, ila mfungo umegeuka mfugo 😂

1776619567607.png
 
Kuna Ile Arsenal alishinda goli 5 _1 vs city, fans wakaja humu wanashangilia kama vile wamebeba ubingwa. Nikasema maana halisi ya false hopes ni kama hivyo match ya muhimu hushindi ila match zisizokua na umuhimu unashinda goal kibao zisizokuwa na maana .

Nilivyosema ivyo kina castr, mkorea na arsenal 2004 wakanishika shati wanataka kunipiga eti nisiwachagulie matches za kushangilia😂😂.
Match ya muhimu Leo even draw mmekosa, mbona kina westham wanakaza wanaondoka na points za kutoshuka daraja vs hao hao city .
 
Kai anatukosesha ushindi
Kuna Ile Arsenal alishinda goli 5 _1 vs city, fans wakaja humu wanashangilia kama vile wamebeba ubingwa. Nikasema maana halisi ya false hopes ni kama hivyo match ya muhimu hushindi ila match zisizokua na umuhimu unashinda goal kibao zisizokuwa na maana .

Nilivyosema ivyo kina castr, mkorea na arsenal 2004 wakanishika shati wanataka kunipiga eti nisiwachagulie matches za kushangilia😂😂.
Match ya muhimu Leo even draw mmekosa, mbona kina westham wanakaza wanaondoka na points za kutoshuka daraja vs hao hao city .
Teh teh kila hater wa Arsenal kawa mtabiri muda huu. Sisi tunaendelea kucheza mechi zetu ligi bado haijaisha hii.
 
Uwezo wa kiufundi wa wachezaji wa arsenal 99 percent ni mdogo ,nguvu ndio sulaha Yao kubwa,mchezaji wa maana ni EZE ndio anaweza match ufundi wa wachezaji wa city na Arteta alijipiga risasi alipomtoa .
Hamna kitu Eze amecheza Leo zaidi ya ile chance aliyongesha mwamba. Amepoteza sana mipira.

Mchezaji wa kulaumiwa ni Kai kwa kushindwa kufunga kwenye chances alizopata.
 
Back
Top Bottom