The Anfield
JF-Expert Member
- Dec 15, 2025
- 236
- 276
U Man Utd na U Liverpool uliwaharibu km bongo usimba na uyanga, Uccm na Uchadema, mwanasiasa yupo radhi asijenge barabara au hospitali maana kisa ni ngome ya Upinzani...England amewahi kuwa na
Viungo kama
1. Michael Carrick.
2. Paul Scoles.
3. Steven Gerlard.
4. Flank Lampard.
Spain ndo kdgo wameweza kuishi nayo Hali ya U Madrid na u Barcelona jpo kwenye vilabu tifu kweli kweli na majigambo