Kweli uoga wako ndo umasikini wako nili cash out kwa kuhofia mechi moja tu ambayo ni chile vs uruguay kwa kuweka under 1.5 nikadhani haitotoka sasa imetoka nilikuwa nimpige 1.3m huyu
*Et wanasoka wenzangu*
Hiv pique anaweza riadha na rash ford?
Ter stegen atadaka chambua za martial?
Kale ka jordi alba kanaweza fukuzana na lingard?
Arthur melo amsumbue pogba,Kweli jaman?...
Alishndwa mbape ataweza Suarez kweli kwa lindelof?
Coutinho anataka kuja man u ,amfunge de gea si...
Chief mkwawa ivi izi android version kazi yake kubwa ni nini hasa katika simu. kuna kuwa na tofauti gani kati ya simu yenye android 7 na yenye android 8 au 9.na mfano kama unavo update simu kutoka android nane kwenda tisa kuna kuwa na vitu gani vinaongezeka?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.