IPI simu yenye camera nzuri kuliko zote?

IPI simu yenye camera nzuri kuliko zote?

Hapana sijawahi kimbia mjadala humu hata siku moja, na hizo picha mbona ni za kawaida sana? Ukizoom kidogo ni blur?

Nipo busy kidogo ila ningepiga picha hapo hapo kama ulivyopiga wewe nikakuwekea na Nokia 808 uone utofauti. Tena simu ya 2012. Best camera phone to date.
Naikubali sana iyo simu,hii picha imepigwa 2012 na nokia 808 halafu ni usiku ilikuwa na flash yenye nguvu sana
IMG-20140716-WA0020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simu za HUAWEI zinapigwa vita na kwingine zimepigwa marufuku Ulaya, Marekani, Australia na Asia kwa sababu China inashutumiwa kuziwekea ki chip cha udukuzi ndani kwa ndani.

na CHINA ndio walikuja kutusaidia kusuka mifumo wa TCRA mwaka 2017 kama mnakumbuka
 
6GB 128GB = TZS 837,600
6GB 64GB = TZS 760,800

64GB = TZS 1,554,384

Eti kaka, nikitaka kuagiza TECNO CAMON 11 Pro kupitia kwako/nje whatever itani cost shingapi??
Je kwa ushauri wako ni bora nichukue hapa bongo kuliko kuagiza???
 
Back
Top Bottom