Hatimaye nimepata Galaxy M20

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Oct 18, 2015
1,704
2,363
Ni simu nzuri, inakaa na charge muda mrefu... pia ina bettery kubwa & RAM & Storage....display yake n infinix

images.jpeg

images%20(1).jpeg
Screenshot_20190407-085337_Settings.jpeg
Screenshot_20190407-085456_Device%20maintenance.jpeg
Screenshot_20190407-085421_Device%20maintenance.jpeg
20190407_084906.jpeg
Screenshot_20190407-085523_Samsung%20Experience%20Home.jpeg


Mtu unaweza kununua hizi simu kwa bei ya kawaida na usijute...
1. Galaxy M series(m30, m20, m10)
2 Xiaomi
3 Oppo
 
Y
Ni simu nzuri, inakaa na charge muda mrefu... pia ina bettery kubwa & RAM & Storage....display yake n infinix

View attachment 1064726
View attachment 1064728View attachment 1064729View attachment 1064730View attachment 1064731View attachment 1064732View attachment 1064733

Mtu unaweza kununua hizi simu kwa bei ya kawaida na usijute...
1. Galaxy M series(m30, m20, m10)
2 Xiaomi
3 Oppo
Yani simu saa 3 kasoro moja imesha drain about 50% of the batt. energy unasema ni simu inayokaa na charge?

Mie nmeamka saa 1 nika unplug simu yangu till now iko hapa! Sony Xperia C3
Screenshot_2019-04-07-10-37-35.png
 
Y
Yani simu saa 3 kasoro moja imesha drain about 50% of the batt. energy unasema ni simu inayokaa na charge?

Mie nmeamka saa 1 nika unplug simu yangu till now iko hapa! Sony Xperia C3View attachment 1064805
Tangu nimeitoa charge masaa 26 yamepita boss wangu.

Kwa masaa 26 sijazima data + kuitumia sana.

Kama umesoma post yangu vizuri, sujalinganisha na na simu yeyote .. bali nimesema hii simu ni nzuri kwa price yake ni ya kawaida
 
Ni simu nzuri, inakaa na charge muda mrefu... pia ina bettery kubwa & RAM & Storage....display yake n infinix

View attachment 1064726
View attachment 1064728View attachment 1064729View attachment 1064730View attachment 1064731View attachment 1064732View attachment 1064733

Mtu unaweza kununua hizi simu kwa bei ya kawaida na usijute...
1. Galaxy M series(m30, m20, m10)
2 Xiaomi
3 Oppo
Tunaomba ututajie bei yake na sehemu uliponunulia. Itakuwa umesaidia wengi waliovutiwa nayo.
 
Ni simu nzuri, inakaa na charge muda mrefu... pia ina bettery kubwa & RAM & Storage....display yake n infinix

View attachment 1064726
View attachment 1064728View attachment 1064729View attachment 1064730View attachment 1064731View attachment 1064732View attachment 1064733

Mtu unaweza kununua hizi simu kwa bei ya kawaida na usijute...
1. Galaxy M series(m30, m20, m10)
2 Xiaomi
3 Oppo
Mkuu Tunaomba bei yake na utuambie umenunulia wapi ,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaomba ututajie bei yake na sehemu uliponunulia. Itakuwa umesaidia wengi waliovutiwa nayo.
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
 
Tunaomba ututajie bei yake na sehemu uliponunulia. Itakuwa umesaidia wengi waliovutiwa nayo.
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
 
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
Poa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
Okay, Great! Vp kuhusu warranty? Ina 24 Smart Care kama matoleo mengine ya Samsung?
 
Okay, Great! Vp kuhusu warranty? Ina 24 Smart Care kama matoleo mengine ya Samsung?
Ahaa!, kwasasa hakuna warranty maana hizi simu bado hazijaja officialy kwenye maduka ya Samsung.

Ni yale matolea ya India ambayo yamekuja kwa njia za Panya

Kwakua mm ntakuwa hapa mwanza kwa wiki 2, nimekubaliana na muuzaji hapa rocky city mall Endapo ikipa hitilafu ntarudisha au
Nikirudi Dar wana maduka yao mlimani city ntapeleka huko.

Yaani nimechukua kama kujitoa muhanga vile... hadi sasahiv sijapata tatizo lolote.
 
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
Vip camera yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom