Recent content by Lucian Gallet

  1. L

    Shortlist ya Hakimu mkazi daraja la II

    Hata The Guardian wametoa
  2. L

    Je, kanumba kambaka lulu? Umri wake chini ya miaka 18?

    Hakumbaka na angeweza kumwoa ila ingemlazimu kupata ridhaa ya wazazi wake na Lulu kwa sababu ya umri. sheria inaruhusu mwanake mwenye umri wa miaka 14-17 kuolewa ila kwa ridhaa ya wazazi wake. Pia asiwe mwanafunzi
  3. L

    Je, kanumba kambaka lulu? Umri wake chini ya miaka 18?

    Hambaka na angeweza kumwoa ila ingemlazimu kupata ridhaa ya wazazi wake na Lulu
  4. L

    Pongezi kwako Vincent Nyerere!

    mshikaji ni jembe. amewachapa kiboko magamba mpaka wamefurahi wenyewe. Mwenyewe binafsi nimetokea kumpenda toka pale Mzee Ben alipompakazia mbovu kwamba cyo wa familia ya mwalimu na yeye kujitetea na hakukata tamaa. Yah the man is gud.
  5. L

    Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

    Dena Laway .orok. Ila binadamu wote si sawa. Kila mmoja na tabia za na huenda kweli chaguo lake la kwanza halikua sahihi hiyo si vibaya akapewa nafasi tena. Huenda alishinikizwa kumwoa hyo mwanamke so u just give him another chance.
  6. L

    Arusha yawaka moto.

    Ah si wameona chadema wanaleta uhai.sasa wanataka kudidimiza moto wao. Ila ule moto hauzimwi kwa mitutu, wao wajipange na sera za kueleweka. Siyo miguvu
  7. L

    Kama unatafuta kazi suluhisho lako lipo hapa-ba recruitment agency

    Mimi nasubiri mpaka wadau wengine wa ku risk wapate. Alafu vp wanatafuta ajira za makampuni ya wahindi tu au hata serikalini.?. Ila mh hao kama cy wachaga basi wakenya. Isije ikawa ndo DECI ya watafuta ajira.
  8. L

    Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Jamani mi mnisamehe. kwanza anayesema january au ridhwani anagombea urais 2015, mi naona hizo ni ndoto tu, maana wale wanaonekana nyanja za kisiasa bcoz wazee wanawabeba. siyo wanawapendelea hapana,ila wazee wao ndo wako kwenye system, lakini siku wanaachia uongozi na wanao utaona kimya. kwani...
  9. L

    GE2010 FAKE: CHADEMA walichukua jimbo la Mbeya vijijini

    acha kuturusha mi nimeulizia kwa mdau moja hko mbeya na ye ndo anayasubiria. ila anadai mchungajinwa ccm anachakachua kwel japo chadema atashinda tu
  10. L

    GE2010 Babati wamerogwa!

    Jamani wana JR samahaninini sana mi mwenyewe nimetoka jimbo la babati vijijini, sisi tumehongwa vitishe na mhindi moja wa ccm ila kura zote tumempa mh.tara wa chadema. Problem ya babati mjini ni mahali ambapo pamekaliwa na jamii ya watu wanaitwa warangi. mrangi ukimpa chochote tayari...
  11. L

    GE2010 Ebu ona huu usanii, Kura CHADEMA, urais CCM, nonsesnse

    hekaheka za slaa ndio imetuletea wabunge vijana. imagine ilemela mh.dialo aliangushwa na binti wa miaka 25. yote ni kazi ya dr.
  12. L

    GE2010 Ebu ona huu usanii, Kura CHADEMA, urais CCM, nonsesnse

    HAWAWEZI kusema hapakua na uchaguzi maana maswahiba esp.masha,marmo,mramba wamepunguzwa kidogo si haba. mi nataka 2005 ccm wamsimamishe Lowasa
  13. L

    GE2010 Ebu ona huu usanii, Kura CHADEMA, urais CCM, nonsesnse

    Kaka ukiangalia matokeo ya mikoa ya lindi na mtwara na dodoma unapata kichafuchefu kabisa. yani watu wamelala kabisa. Last night nilikua naangalia matokeo ya urais ktk vituo vya kariakoo yani huwezi kuamini CHADEMA walikua wanapata kua 10, 12, 15.THEN IMAGINE chadema hao ndio wamechukua majimbo...
  14. L

    GE2010 Matokeo Mbeya Vijijini

    Watanzania asanteni sana kwa kupuwapunguza manyang'au wa CCM. Mbeya vijijini nilisikia chadema wanaongoza kiasi kwamba wanamatumaini ya ushindi...
Back
Top Bottom