Huburya Charles
Member
- Dec 7, 2011
- 68
- 6
Hongera sana Vicent hii inaonesha kuwa unajua unachokifanya tangu jimboni kwako na huko ulikoitwa na chama chako ukatete haki isipotee endelea kuchapa kazi kijana 2015 ni yako iko wazi utaweka historia ya kurudia jimbo la Musoma mjini.