Elections 2010 FAKE: CHADEMA walichukua jimbo la Mbeya vijijini

CCM pamoja na kuchakachua kura za urais bado wanaumia kwenye ubunge wanachakachua huku tunawagonga kule
Wapo busy kuchakachua za uRais maana JK kadunda vibaya. Kwa sasa hawana nafasi kudeal na za mbunge mmoja mmoja
 
Ni kwamba jamaa wa ccm amechakachua hadi amekosea..Kata yenye wananchi 100 amejaza kwenye fomu kwamba amepata kura 800, kitu ambacho hakipo bado hapa duniani!
Kwahiyo kuna vurugu sana huko, na zimelia vibaya mno mchana kutwa(si unajua mambo ya peeeeooooopleeesssss!!power!

asante kwa info mkuu..
jamani tusipeane presha na matokeo ya kizushi
 
Imetangazwa TBC Live

TBC wametangazaje? bila data? au na wao wamesema ''kuna tetesi kwamba CHADEMA wameshinda jimbo la Mbeya Vijijini''

Tuwe makini tunapofuatilia hizi news..na makini zaidi tunapokuja kupost thread
 
Du!!! huu ni uzushi mtupu!!!!!!!!!!!!!!!
nimeongea na mdau wa huko mambo bado
na inavyoonekana kuna uwezekano sisiem ikashinda
maana CHADEME kapata kura nyingi maeneo ya Mbalizi ila kwa huko vijiji vya mbali
wananchi wamelishwa yamini ya sisiem

Inasemekana Jamaa alikuwa anawapa pombe za kienyeji, siyo mchezo. CCM wanaonekana kushinda tena lile jimbo. inasikitisha kumpoteza mtu muhimu sana Mbeya vijijini.
 
Watu wanapost UPUPU wa hali ya juu wasicheke na kufurahi. MODS watareview mwenendo mzima wa posts hizi baada ya vuguvugu la uchaguzi kupita na mtakula BAN tu!
 
acha kuturusha mi nimeulizia kwa mdau moja hko mbeya na ye ndo anayasubiria. ila anadai mchungajinwa ccm anachakachua kwel japo chadema atashinda tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom