Mbeya vijijini alishatangazwa mgombea wa CCM kuwa ndiye mshindi na raia hawakubaliani na matokeo na wameandamana.
Huyo aliyeleta taharifa hizi ni mwongo na mzushi.
Ni kwamba jamaa wa ccm amechakachua hadi amekosea..Kata yenye wananchi 100 amejaza kwenye fomu kwamba amepata kura 800, kitu ambacho hakipo bado hapa duniani!
Kwahiyo kuna vurugu sana huko, na zimelia vibaya mno mchana kutwa(si unajua mambo ya peeeeooooopleeesssss!!power!
Du!!! huu ni uzushi mtupu!!!!!!!!!!!!!!!
nimeongea na mdau wa huko mambo bado
na inavyoonekana kuna uwezekano sisiem ikashinda
maana CHADEME kapata kura nyingi maeneo ya Mbalizi ila kwa huko vijiji vya mbali
wananchi wamelishwa yamini ya sisiem
Nisicho elewa kwenye uchaguzi huu Chadema kushindwa kupata viti hata 50........kweli CCM ni kiboko wa kuchakachua matokeo........Ila la kujifariji mbunge mmoja wa Chadema ni sawasawa na 50 wa CCM kiutashi..........................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.