Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

uyu dogo ni kama chizi,asifikirie kabisa 2015 manake nchi nzima inaweza kuja kuwa na tabia na hulka za kikwere-kikwere!!!
 
Mtoto wa JK Ridhwani amekuwa akitajwa katika matukio mbalimbali yasiyopendeza kwa Watanzania.Ametajwa kuvuruga uchaguzi Shinyanga mjini na hiyo aliyotajwa na Dr.Slaa.Maneno anayotoa kwa Dr.Slaa si ya kiungwana kwani Dr. ni mzazi wake.Sasa asiyefunzwa na mamaye huvunzwa na ulimwengu.Katika awamu zote za urais hapo TZ haijawahi kutokea familia kujihusisha na uongozi wa nchi ambayo katiba inaainisha wazi viongozi.TZ inaelekea wapi kwa hali hii?WANA JK NAOMBA MAONI YENU KWANI MIMI NIKO NJIA PANDA.

Ulikuwa hujui kaka yake Nyerere alikuwa kiongozi wa TANU Youth League?
 
Ni aibu kubwa kwa CCM, yaani Familia ya kiongozi mgombea kujipigia kampeni, hiki chama kimeshakosa Mvuto na Dira. yako wapi maadili ya Chama? Inafikia hatua Ridhiwani anakuwa kama:-
i) Makamu Mwenyekit wa Chama
ii) Meneja wa kampeni
iii) Mtunza pesa za Chama
iv) Mkuu wa intelligensia ya chama

Yaani ukikorofishana au kutofautiana naye kidogo tu basi .....umepotea....Kumbukeni ya Masauni.

Nahomshauri Dogo:

Ajiepushe kabisa na Siasa, asithubutu kujibu vitu ambayo anafikiri watanzania wote ni mabumbumbu, asijipalie makaa kujibizana na CHADEMA. atulie ale pesa zake kwa amani.
 
Ona machizi kama huyu babie wana , unazungumza kuwahusisha watoto wetu kwenye biashara? una akili , kwani Siasa ni biashara, how stupid can one be??? Siasa-Ungozi na masuala ya taifa unamuingiza mtoto, umeona wapi? umeona BUSH/KIBAKI/ MUGABER (japo diketa) au nani amemuingiza mtoto kwenye kujibu mambo mazito ya nchi yahusuyo siasa. Laana zinaanziaga hapa hapa duniani , si lazima umtusi babayako but anyone equal to baba yako. I hate all this Kikwete family. Ungudu tuuuuu, uswahiliiiii na upuuzi
 
Vijana sasa tumechukua jukumu la Kuongoza Nchi, Lakini HuYu mwenzetu Ridhiwani ana Malengo gani hata aweze kuzungumza mambo kama haya?

Je katiba ya Nchi inasemaje?
 
I can see that that young man Ridhiwan has joined a wrong career, may be he could have been an an economist getting involved in planning or an IT personell.He is neither a good public speaker nor a persuasive character. I strongly doubt if his decision to join politics wa triggered by his ambition to serve the general public. Huyo kijana inabidi aelewe kwamba hapa Tanzania na Africa kwa ujumla kulishatokea watoto wengi ambao baba zao walishakuwa maraisi tena prominet ones and highly respected international figures, such as Julius Nyerere, President Ally Hassan Mwinyi, Kwame Nkurumah, Mandela of South Africa, the late prime minister Balewa wa Nigeria na wengine wengi tu.Wote hao watoto wao hawakuwahi kuonyesha arrogance yoyote wala kuwa centre stage of controverse kwa general iliyokuwa ikiongozwa na baba zao.
Huyu kijana bado anasafari ndefu ya kwenda, na kama kweli anataka aje kuwa kiongozi mzuri wa Tanzania ya baadae basi ajikite kujifunza mbinu za uongozi bora na aanze kutekeleza kwa vitendo.Kinyume cha hapo akiendeleza majigambo na kujiona eti ni mtoto wa president ajue hatapata peoples' support na hivyo he will just be ignored by the public hata kama atakuwa akibebwa kwenye uongozi. amuombe Mungu akupe hekima na busara kwenye maisha yake.Urais wa baba yake amuachie mzee wake awatumikie Watanzania hadi kipindi chake kitakapokamilika.
 
mimi nnadhani ridhiwani anapewa kiburi na baba yake ndio maana anapata kiburi, si sahihi suala la kisiasa kuingiliwa na familia,hii ni aibu kubwa kwa sababu nchi hii sio ya kifalme ni democratic country ila jk hatambui na pia washauri wake wameshindwa kazi
 
Vijana sasa tumechukua jukumu la Kuongoza Nchi, Lakini HuYu mwenzetu Ridhiwani ana Malengo gani hata aweze kuzungumza mambo kama haya?

Je katiba ya Nchi inasemaje?

Maneno yapi? kama huna cha kufanya si ulale? unatoa taarifa kama tulikuwa wote wakati tunashuhudia na kama tulikuwa wote then huna haja ya kuileta hapa. Kama umeamua elezea kilichotokea ili tuchangie kama huna kakojo# ukalale
 
huko ni kumuogopa kufikiria kuwa hoja akitoa ridhwan ametmwa na mheshimiwa wanakosa kujiamini.
Poa ndio staili mpya ya president mwenye familia makini na wewe jishughulishe

Kwenye RED,
Swala hilo liko kwenye mchakato wa hali ya Juu huyo bwana mdogo hato amani nakwambieni na wako wengi wanalishughurikia.

 
i can see that that young man ridhiwan has joined a wrong career, may be he could have been an an economist getting involved in planning or an it personell.he is neither a good public speaker nor a persuasive character. I strongly doubt if his decision to join politics wa triggered by his ambition to serve the general public. Huyo kijana inabidi aelewe kwamba hapa tanzania na africa kwa ujumla kulishatokea watoto wengi ambao baba zao walishakuwa maraisi tena prominet ones and highly respected international figures, such as julius nyerere, president ally hassan mwinyi, kwame nkurumah, mandela of south africa, the late prime minister balewa wa nigeria na wengine wengi tu.wote hao watoto wao hawakuwahi kuonyesha arrogance yoyote wala kuwa centre stage of controverse kwa general iliyokuwa ikiongozwa na baba zao.
huyu kijana bado anasafari ndefu ya kwenda, na kama kweli anataka aje kuwa kiongozi mzuri wa tanzania ya baadae basi ajikite kujifunza mbinu za uongozi bora na aanze kutekeleza kwa vitendo.kinyume cha hapo akiendeleza majigambo na kujiona eti ni mtoto wa president ajue hatapata peoples' support na hivyo he will just be ignored by the public hata kama atakuwa akibebwa kwenye uongozi. Amuombe mungu akupe hekima na busara kwenye maisha yake.urais wa baba yake amuachie mzee wake awatumikie watanzania hadi kipindi chake kitakapokamilika.

sawa kabisa unachokisema

 
midhani kuna umuhimu wa kupima fikra nasio kukariri kwani hapa kunakukariri mno, mmesahau JK alisema urais wake hauna ubia na mtu!!! possible kabisa kuwa share na dogo
 
Kilaza na tafasiri tu kaka bora ana akili za Kuweza kuvaa suruali zinamtosha we na ukipanga wako umekusaidia nini. USIlete manenoya luhanga Anasema yeye ndo Jiniasi akawadharau waliosoma masomo ya Arts wakiitwa Ngwini. Alipostaafu ndo akawajua umihimu wao walimpa mafao hata ya Mwl wa shule ya msiingi afadhali. watu wote sawa.
Nawewe usije kuwa Mkali wakati ulisoma Arts

Yai viza wewe
 
Jamani mi mnisamehe. kwanza anayesema january au ridhwani anagombea urais 2015, mi naona hizo ni ndoto tu, maana wale wanaonekana nyanja za kisiasa bcoz wazee wanawabeba. siyo wanawapendelea hapana,ila wazee wao ndo wako kwenye system, lakini siku wanaachia uongozi na wanao utaona kimya. kwani mbona mkapa alipokua anamaliza mda wake watu walitaka hata aendelee kuongoza bcoz he was clean. Lakini leo watu wanaona maovu kibao ya mkapa kiasi kwamba wanatamani ashitakiwe.
KAMA mmenielewa mi naona they are just like hot water, they get cold soon after 2015 election. hii bongo. mbona mkongwe lowasa amepotezwa sembuse hao watoto wadogo
 
Ni aibu kubwa kwa CCM, yaani Familia ya kiongozi mgombea kujipigia kampeni, hiki chama kimeshakosa Mvuto na Dira. yako wapi maadili ya Chama? Inafikia hatua Ridhiwani anakuwa kama:-
i) Makamu Mwenyekit wa Chama
ii) Meneja wa kampeni
iii) Mtunza pesa za Chama
iv) Mkuu wa intelligensia ya chama

Yaani ukikorofishana au kutofautiana naye kidogo tu basi .....umepotea....Kumbukeni ya Masauni.

Nahomshauri Dogo:

Ajiepushe kabisa na Siasa, asithubutu kujibu vitu ambayo anafikiri watanzania wote ni mabumbumbu, asijipalie makaa kujibizana na CHADEMA. atulie ale pesa zake kwa amani.

Mbona huko Chadema jina la mke wa mgombea urais limepelekwa kwenye orodha ya wabunge wa viti maalum? Mbona jina la mke na mtoto wa Ndesamburo nalo limepelekwa kwenye orodha ya wabunge wa viti maalum? Kweli nyani haoni mkalio wake mweee!
 
Naishauri CCM imshauri JK aiwekee limit famila yake. Hata walio ndani ya serikali wanasema wamekuwa wakikerwa na famila kujitia kwenye mambo yasiyowahusu. Lakini hii ni tabia ya kiswahili-swahili ya kufikiri kuwa baba alipo panauhusu na ukoo mzima. Mzee marehemu Nyerere aliwahi kukemea swala la raisi kuongozwa na mkewe katika maswala ya nchi badala ya sheria kipindi mzee ruksa. Nasikitika hawa hawakujifunza kipindi hicho.
 
Tabia yake kweli hata mimi imenikera sana....Lazima Kikwete aweke limits kwa familia yake kujihusisha na mambo ya hii nchi...Hata kama Slaa alimtuhumu kwa lolote lile,angetumia busara kum-confront...Au kafundishwa na baba yake hiyo ndio njia ya kuingia kwenye siasa???
Ajifunze kwa Januari Makamba...
Rubbish!
Hata January ni rubbish tu vaccum.
 
Here comes the video!

 
Last edited by a moderator:
Mbona huko Chadema jina la mke wa mgombea urais limepelekwa kwenye orodha ya wabunge wa viti maalum? Mbona jina la mke na mtoto wa Ndesamburo nalo limepelekwa kwenye orodha ya wabunge wa viti maalum? Kweli nyani haoni mkalio wake mweee!

Una uhakika? au unajiropokea tu!
 
Back
Top Bottom