Mdau makini, umedhihirisha umakini wako asee. Haiwezekani wale wakwepa kodi wakubwa walioingiza serikali hasara kubwa wakasamehewa kwa kupewa siku saba walipe madeni yao na hawa wakabanwa kiasi hiki. Hizi double standards zinatoka wapi? Its unfair.
Sitetei mkwepa kodi ila nasikitika kuona...
angalia picha zao wanazoziweka ni photoshop tu, utagundua nembo za kopamali kama kwenye funguo na majengo ni kama zime editiwa na kuwekwa hapo. matapeli wakubwa hawa
Initially nilijiuliza hivi na hizi picha zote zinazomhusisha na mkuu wa mkoa, inawezekanaje taasisi ya kitapeli ikafanya hivo?
Ila mfumo wao wa ukopaji na urejejeshaji ulinipa shaka, na nilipotaka kuwatembelea ofisini kwao kwa maelezo zaidi (wanadai ni mikocheni) waligoma nisifike, ila tufate...
Ndugu yangu hali ya barabara ya Mtwara-dsm Si mbaya kiasi hicho unachotaka kutuaminisha.
Na kwa taarifa tu ni kuwa tujiandae kununua saruji ya Dangote muda wowote kuanzia sasa kwa Tsh 8,000/50Kgs flat rate countrywide...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.