Leo nimetembelea Addis Ababa

Leo nimetembelea Addis Ababa

mkuu ulifaidi sana,alikupa namba?

hapana na hilo na mimi nilifanya vizuri saana maana mambo ya kuomba namba haya tofautiani na umatonya wa dada zetu,,kiasi flan unakua umejishusha..unless kama angeniomba
 
salute kwako mkuu falcon mombasa ama hakika mwenzetu unafaudu mautamu ya neema za allah!!!
piga ua lazima one day nitimbe huko.
Sasa tushaona kuwa reception ni mia kwa mia bado wezere mkuu usisahau kutupiapo tupicha twa mibinuko si unajua tena yakheee mambo yetu yaleeee!!

Astaghafillurah swaumuuu yng mieee
 
Last edited by a moderator:
Mwezenu hadi natamani kupiga puu baada ya kuwaona hao madada!! Pichani walivyoniangalia utadhani wananiita..... Halloo Ng'wanapagi!!!!
 
Nahapa sitaki tena mademu wa kibongo....nawaachia wanigeria tu wawachezee na kuwatumia. Najiendea Adis!
 
Samples...
 

Attachments

  • 1435667439369.jpg
    1435667439369.jpg
    8.3 KB · Views: 276
  • 1435667454977.jpg
    1435667454977.jpg
    8.9 KB · Views: 381
  • 1435667464767.jpg
    1435667464767.jpg
    74 KB · Views: 718
  • 1435667484763.jpg
    1435667484763.jpg
    7.1 KB · Views: 283
  • 1435667502922.jpg
    1435667502922.jpg
    6.9 KB · Views: 439
Culture aliimba there is a land, far far away, its called Addis Ababa. Jana nimeona wamezindua telescope ya anga za juu. Watafika mbali hawa jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom