Jigsaw
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,823
- 684
Magufuli ni player mzuri sana kwa Wanawake, huyu mama wametengana kwa sababu ya Magufuli kuzidisha michepuko...ikiwa Magufuli atashinda Urais basi ndoa yake itakuwa km ile ya Benjamin Mkapa na Anna Mkapa!
Na huenda hata damu yake sio nzuri kwa matumizi ya binadamu ndio maana mama anaona haina haja tena.