Hii nchi ina fursa nyingi sana hasa watu wa USA wakija wanakumbuka historia ya nchi yao 1918 hasa kwenye uwekezaji kuwahi kupata I phone14, macbook, Maybach vimetusahaulisha sana historia ya wenzetu kwanini walifanikiwa imagine leo tunalilia train ya umeme kama ile ya Tokyo na sio Technologia...
Qa ushindi ule nabaki Africa tyuuu.. Maana huku hukumu hapo hapo, migoli ya offside na penalty za kupewa zileee waafrica tusingeweza kuvumilia qa qeli referee angekula kichapo "Heavy" mae na viti juuuuuuuu
Anapingwa na wavivu wasio penda kujituma kisa wana pHd wanazagaa Kazi kupiga kelele jf kafanyeni kazi jaman mbna maisha ni yale yale tyu qa cc tunajituma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.