Moneytalks
Member
- Jun 26, 2022
- 14
- 28
Mkuu Mshana Jr fungua dm tafadhariMaybe tatizo heading... (Maybe)
Mkuu Mshana Jr fungua dm tafadhariMaybe tatizo heading... (Maybe)
Mkuu endelea kutandaza mkeka bana!Ooh ok ok sawa
Ndiyo kaka,na naomba haya yangeandikwa kabisa kitabu iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyoUmemaliza part zote?
Mcheki inbox moderator aweke kichwa kizuri Kwa kiswahili,,,Maybe tatizo heading... (Maybe)
Nawaza kulitumia kwenye story of change baada ya hitimisho lakeHitimisho lako ndugu mwandishi litanifanya niandike maoni yangu.
Kwa sasa nitaendelea kubaki ndugu msomaji.
Asante sana..
Nimeelewa kuwa ni"MAUAJI CHINI YA ULINZI"Mauaji ndani ya mahabusu
Shamaliza na ku-like kabisa mkuu.Umemaliza mpaka part 6?
Sijasahau ndio maana nikasema huu mfumo hautakuwi kabisa. Ni kama ambavyo kamera za barabarani hapa nchini, hasa kwenye majiji kama Dar, Mwanza, Arusha nk ambavyo hazitakiwi.Mkuu tayari umeshayasahau ya "Lugumi", mbona ni juzi juzi tu?
Umeona eeeeh? Imagine mfanyakazi wa benk anatoa siri za Mteja wa bank. I hope kwenye hili sakata naye atakuwa ameingizwa na ikibidi benk imfukuze kazi.hawa wafanyakazi wa benki huwa wanauza sana ramani.
Unajua hiki alichokifanya Mshana Jr kilitakiwa kifanywe na waandishi wetu wa kiuchunguzi kama wafanyavyo wenzetu Kenya. Sasa sisi waandishi wetu mara ya mwisho niliona tuu ile kazi ya kiuchunguzi ya Jeri Muro kama sijakosea akiwafuatilia madereva barabarani na trafiki kwenye issue ya rushwa. Kwa msukosuko alioupata hakurudia tena.Ndiyo kaka,na naomba haya yangeandikwa kabisa kitabu iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo