Recent content by LitmusPaper

  1. LitmusPaper

    House girl kanikomesha

    Piga search nyumba kwa nyumba unaweza kuta ulileta huduma karibu kwa ndugu na jamaa...!
  2. LitmusPaper

    bc-2: descrimbling rejected! what does this means?

    Natumia kingamuzi cha ting. Napata msg hizo kwa some stations. Nini tatizo?
  3. LitmusPaper

    Nimedhalilishwa mbele ya demu wangu.

    Demu atakua umekuona nuksi kweli! Atakua anajuta kutembea na wewe japo hawezi kukwambia. Nani hapendi kuwa ndani ya v8....
  4. LitmusPaper

    Natafuta mume wa kujenga nae familia

    Hela huwa zinaongeza upendo! Ungetaja kazi yako ns kipato chako ingeongeza wigo wa kupata mtarajiwa.... best wishes lakini,
  5. LitmusPaper

    web designer anahitajika haraka!

    Assignment: kudesign website ambayo mtu mwenye ujuzi kidogo wa kompyuta ambaye ni mmiliki ataweza kuimanage kwa ku update taarifa na ku upload document yaani picha na pdf bila msaada wa mtaalam! Tuma text msg fupi ukieleza elimu yako, software utakayotumia, mfumo utakaotumia, bei na email...
  6. LitmusPaper

    Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

    Fursa hio itumie! Mrekodi uuze kama ringtone...
  7. LitmusPaper

    Amesema ataniwekea sumu!!!

    Au kama unaona lazma u cheat tupitishe mchango tukupe rambirambi zako kabisa!
  8. LitmusPaper

    Amesema ataniwekea sumu!!!

    Andika watu utakaowaachia urithi!
  9. LitmusPaper

    Amenipa mwezi mmoja niwe nimeshamuoa vinginevyo ananiacha, sina mahari nifanyeje

    Akuache kama huna hela! Kama na wewe unaamini hela ni muhimu kwenye hilo na umeshindwa kumuweka sawa... akuache! Kwa kukusaidia nipe digit zake! Ntakuwakilisha. Usijali.
  10. LitmusPaper

    Masikitiko yangu makubwa sana kutokana na mfumo wa uajiri wa bank ya NMB

    Sijui ilikuwaje lakini siku hizi vijana wengi wanaomaliza vyuo wanaomba nafasi za kujitolea katika ameneo mbalimbali. Sasa awapo pale na nafasi ikatokea akaomba na akawa ana vigezo, hata minimum standards anakuwa na chance kubwa ya kupewa kwa sababu kuu 2. Moja wanamjua utndaji wak mbili, wana...
  11. LitmusPaper

    Website ya tume ya ajira

    Napenda kuwapongeza watu wa tume ya ajira. Website yao iko active...! Inatoa taarifa muhimu na za uhakika. Sio mbaya nawewe ukapongeza hapa, hata kama uliomba kazi ukakosa.
  12. LitmusPaper

    Kwa hili nitawachukia wanawake milele. Na sitowasamehe.

    Sijakucheka wewe! Ushauri wa kupima vvu uuzingatie. Uwaambie kuwa ukipata bad news unazimia ili wajue jinsi ya kukuhandle.... Likely kuwa chanya. Hayo mengine na huyo kicheche wapotezee.
  13. LitmusPaper

    Jeeee inawezekana kugegeda kwa hali hii

    Kwani opresheni ni ya wapi? Tumboni au ni kwenye mpango mzima... Nadhani kama mke akipata panadol ya kusahaulisha maumivu jamaa anaweza akagegeda tu.... Mi sio dokta ni mtizamo binafsi.
  14. LitmusPaper

    Nililala na fisi

    Mpe story wife... Anaweza akakushauri vizuri.
  15. LitmusPaper

    Hivi Wanawake Wanataka Wafanyiwe Nini?

    Hata vicheche neno nimekupenda hawataki kulisikia...! Shida ninayoiona sisi wanaume tukiona demu mzuri tunawaza kumgegeda...! Kwahiyo hata ukimsimamisha akasimama unakuta mjomba inabidi umbane na mkanda maana ameshasimama... Wakati huo macho yanahangaika kuangalia ------. Matiti. Kiuno...
Back
Top Bottom