Hivi Wanawake Wanataka Wafanyiwe Nini?

Hivi Wanawake Wanataka Wafanyiwe Nini?

Wanawake mda mwingne wanakuzungusha ili waonekane cyo wahuni au wepec
 
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?

Simply hakuna ubaya, ila bado pia kuna mengi ya kujiuliza kuhusu kupenda kwako huko........
 
ukiwa una nia ya kumchezea waweza mwambia chochote mda wowote, lakini kama wataka wa kukufuta machozi inabidi uwe na subira.[Nimeshasubiri mpaka nimechoka kwa kutumia style ya kusema ngoja kwanza anizoee!
 
hahaha kweli hakupi papuchi. sasa ngoja nikupe trick....ili demu umwambie nakutamani na akuvulie chupi hakikisha una vitu viwili; gari na mapenez mwanawane.
nipe trick sina gari na mapene.
 
Wanawake wapenda kutongozwa tongozwa haijalishi hata awe mke wa mtu.
 
Ki ukweli neno nakupenda kwa mala ya kwanza ni vigumu mtu kukuelewa nia yako hivyo yatupasa tu tukubaliane kwamba nibora ukaanza na ku like hata kama ni miaka kumi 2 bila kutamka neno na kupenda kwan kupenda ni hatua ya mwisho na muhimu sana katika mahusiano na ni baada ya kuafikiana mambo ya msingi na kuchunguzana kwa kina na kujuana tabia . wengi tunasema nakupenda na baada ya siku mwezi kupita mahsiano chenga sasa nini maana ya hilo neno so vyema neno kutumia like mpaka hapo utakapoona umeridhishwa na mtu hy uliyemtakia neno hilo.
 
yan huo uongo wa kumwambia umempenda badala ya kumwambia umemtaman ndo unao wakera
 
Dah pole sana. Ila wenzio siku hizi hatushtuki tukiambiwa "nakupenda" ...huyo alikuwambia Haaa, mwingine angeweza hata kucheka kwa sauti kabisa. Tunaamini kupenda hakuji namna hiyo lol, inawezekana tunakosea na tunaembarass watu but ndivyo wengi tulivyo! Ungejaribu kumfuatilia, hasa kupata namna ya kuendelea kuwasiliana naye. Yaani wewe bwana, uliona huna uhakika wa kuonana naye tena so ukaamua umpe NENO aende akalale nalo lol! The Boss umenichekesha wewe "lengo lipi hilo ambalo lipo linaelea elea tu na ukimwona mtu tu linamuangukia? "!
 
Last edited by a moderator:
Hata vicheche neno nimekupenda hawataki kulisikia...! Shida ninayoiona sisi wanaume tukiona demu mzuri tunawaza kumgegeda...! Kwahiyo hata ukimsimamisha akasimama unakuta mjomba inabidi umbane na mkanda maana ameshasimama... Wakati huo macho yanahangaika kuangalia ------. Matiti. Kiuno... Unajikuta huna la kusema ndo unaongea maneno kama aliyoongea mshkaji.... Unakuta demu anakushangaa anakuona kama mwehu hivi au zoba flani.Kama unataka kujua cha kufanya ni pm!
 
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?

........nimegundua wewe sio mjanja ! Siku ya kwanza tu, lazima uwe smart. Hakikisha una pata na kuchukua taarifa zake za kutosha. Una kaa wapi, namba ya simu, unapofanya kazi, majina kamili nk.
 
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?

........nimegundua wewe sio mjanja ! Siku ya kwanza tu, lazima uwe smart. Hakikisha una pata na kuchukua taarifa zake za kutosha. Una kaa wapi, namba ya simu, unapofanya kazi, majina kamili nk.
hakikisha neno nakupenda liko mbali sana !
 
inamana wewe kila utakayemwona waweza mpenda hapo hapo utapenda wangapi sasa? mana ukisogea hatua chache utakutana na mwengine mzuri zaidi, mstaarabu zaidi, akakuvutia nae ukamtaka tena!!!!!!!
 
........nimegundua wewe sio mjanja ! Siku ya kwanza tu, lazima uwe smart. Hakikisha una pata na kuchukua taarifa zake za kutosha. Una kaa wapi, namba ya simu, unapofanya kazi, majina kamili nk.[Wakati huo sikutegemea kumuona tena siku ingne maana angeweza kuniambia hana sim?
 
Ki ukweli neno nakupenda kwa mala ya kwanza ni vigumu mtu kukuelewa nia yako hivyo yatupasa tu tukubaliane kwamba nibora ukaanza na ku like hata kama ni miaka kumi 2 bila kutamka neno na kupenda kwan kupenda ni hatua ya mwisho na muhimu sana katika mahusiano na ni baada ya kuafikiana mambo ya msingi na kuchunguzana kwa kina na kujuana tabia . wengi tunasema nakupenda na baada ya siku mwezi kupita mahsiano chenga sasa nini maana ya hilo neno so vyema neno kutumia like mpaka hapo utakapoona umeridhishwa na mtu hy uliyemtakia neno hilo.

Kwanini inakua vigumu kuelewa wakati yeye ni wa jinsi ya kike.
 
Back
Top Bottom