House girl kanikomesha

House girl kanikomesha

Najua hunishindi mimi.... tatizo we mchoyo hata PM umegoma kujibu. Nikitaka vingine utanipa kweli wewe???

Tatizo unaongeaga kwa confidence kama vile ulileta mahari kwetu na unasababisha hadi mme wangu anashtuka.....lol
 
Poa tu,si na wewe ulimuokota tu,yaani humu kuna watu wameenda shule za kijinga sana,watu wanasoma wapate kazi tu,yaani namuheshimu sana huyo mfanyakazi na mshahara ulikuwa unamlipa elfu 20,pinga hapa,na yeye binadamu,nataka upinge niliyosema hapa,
 
Piga search nyumba kwa nyumba unaweza kuta ulileta huduma karibu kwa ndugu na jamaa...!
 
huyo kaolewa,amechukua nguo za kuanzia maisha kwa mume wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom