Hi wana mmu na jf kwa ujumla. Huu si uongo na wala si hadithi ni tukio la kweli lililonitokea mkoani katavi. Sina nia ya kumtisha wala kumchafua mtu.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30 na ninafanya kazi kwenye NGO moja jijini dar inayojihusisha na utunzaji mazingira. Wiki iliyopita nilipata safari ya kwenda mkoani katavi kwa ajili ya kutoa elimu ya mazingira kuzunguka ziwa tanganyika katika maeneo ya kalema na ikola.
Kama kawaida ya field tulipanga guest house 1 hapo kalema. Usiku nilienda kwenye bar 1 kupata 1 moto 1 baridi. Nikiwa hapo bar alikuja mtoto mmoja mzuri wa kike. Nilimuomba kampani yake na akakubali nilale nae.
Nilienda nae guest na kupiga viwili alaf tukalala hapo ndipo ilipotokea kituko. Nilishtuka saa 8 usiku na kumuamsha ili nishtue japo kimoja ila hakuwa anaitika zaidi ya kufumbua macho. Nilijua amezidiwa na usingizi, nilijitahidi kumshtua bt hakuwa anashtuka aliendelea kufumbua macho tu bila kuongea. Ikabidi nimpande hivyo hivyo na kumaliza. Yeye hakuwa anaongea wala kujitikisa kipindi chote mi namfanya. Nilipo maliza nikalala bt baada ya mda mdogo nilisikia kiupepo kinaingia ndani naye akashtuka na kujigeuza. Ilikuwa kama saa 10 hivi usiku. Akaniamsha na kunipa mzigo tena mpaka nikachoka alikuwa kama sijamdu.
Asubuhi nilienda kwenye mafunzo hapo ndipo nilimuelezea jamaa mmoja ambaye anaishi huko na tulikuwa tunashirikiana nae kwenye hilo zoezi la kutoa elimu ya mazingira. Jamaa kumbe anamjua huyo dada na akaniambia hiyo ndiyo tabia yake kwa sababu ni mshirikina huwa usiku ukilala nae anaenda kuwanga na pale huweka fisi kimazingara ndio maana nilipokuwa namuamsha hakuwa anashtuka wala nini.
Alishafukuzwa huko sumbawanga na mpanda mjini kwa ajili ya hiyo tabia yake.
Kuanzia siku ile naogopa kuchukua mzigo nikiwa field.
Nawashauri wanaume wenzangu tuwe makini tunapochukua wanawake hovyo.