Baba alifariki nikiwa darasa la kwanza, mama alifariki nikiwa form 3, nina wadogozangu wawili.. Nikiwa form3 nilijua ndio Mwisho wangu wa shule,, Nikamtumainia MUNGU na na kustrugle akanimwagia mibaraka yake, nikafika form 4,5,6 na chuo kikuu, mdogo wangu wa pili yupo mwaka wa 3 chuo kikuu...