Bodi ya mikopo (HESLB) kunani??

Bodi ya mikopo (HESLB) kunani??

Nshughulika sana kuwasaidia watu kujiunga na vyuo kupitia NACTE na wanao apply loan board...Tatizo hapa ni moja,ule utaratibu ulio zoeleka kwa miaka mingi iliyo pita mwaka huu ni tofauti alafu hakuna maelekezo yoyote kuanzia NACTE mpaka HESLB...
Wamefaulu?
 
HESLB hawajafungulia dirisha la maombi. Hii ni tofauti na miaka iliyotangulia pengine kuna mabadiliko Fulani wanajaribu kuboresha. Pia TCU kwa pamoja na NACTE walifungua CAS mfumo wa maombi online tangu mwezi march kwa ajili ya wanaoapply astashada na stashada mbalimbali na guidebook za kozi na vyuo husika vipo online. Kwa Bahati mbaya wakaweka na kipengele cha degree ambapo baadae mwezi April walikitolea maelezo kua wanaowish kuapply wasubr matokeo ya 4m6 kisha wataomba pa1.

Sasa namshangaa alietuma hyo 30 cjui alipata wapi maelekezo hayo na amemtumia nani
 
Bodi ya mkopo inapokea maombi ya mkopo baada tu ya mitihani ya kidato cha sita kumalizika na wanatoa info baaada ya wiki kadhaa na sio baada ya matokeo ya mtihani kutoka tusipotoshane na mwisho wa kuapply ni june 31 nimejaribu kutuma pesa kwenye mpesa ya malipo yao lakini kuna stage moja kabla ya ile ya kuandika namba zako za mtihani inagoma .inaandika utility numbeR is wrong nahisi kuna tatizo bado linashughulikiwa.


Bado hawajaanza na
hizo transaction Id kama umeshalipia haziwezi kucopy na system ya HESLB kwa sasa. na inaweza ikagoma hata baadae.
 
Somebody from bodi ya mikopo should come up with a ststement on this


UTARATIBU HAUJAANZA....Na kama umejaza saahizi ni uongo..kuna watu wameenda mpaka bodi kuuliza mbona tumelipia. ila wameambiwa kuwa muda hsujafika
 
Back
Top Bottom