Mkuu tembelea links hizi:Msaada kujua sources za Unreptd cases online please
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
Jaribu hiki, kama unataka kwa tanzania tuHabari zenu wakuu?? Naombeni mwenye Kitabu cha MANUAL ON LAND LAW AND CONVEYANCE IN TANZANIA anitumie kwa e-mail joshuaremada3@gmail.com
Ahsante sana mkuu!!Jaribu hiki, kama unataka kwa tanzania tu
Thanks mkuuChambua utakazozipenda, hizi hapa