Recent content by lingw'ina

  1. L

    Nimeombwa hela ya wigi 300,000/= kuna wigi la bei hiyo?

    Kaka zipo,ila huwa wanarudia kushonea.Nguo mpaka milioni usishangae za laki mbili.Mpe shem na yeye apendeze.
  2. L

    Jimbo la Kawe mwaka huu ushindani mkali sana

    Mbavu zangu jaman
  3. L

    Siku hizi kuna machangudoa Moshi?

    Ww kiboko,Marekan,Uingereza na sehem mbalimbali duniani kuna makahaba huko nako wamepelekwa na CCM,mmmmh div 5.
  4. L

    Jaji Lubuva kuandika historia mpya ya Tanzania

    Chezea shemeji wa mgombea nn
  5. L

    Mpenzi anafanyiwa maamuzi na mashoga zake

    Weee hawaumi,kuna mchicha mwiba hao anabanduliwa na yeye anaweza kubandua pia.
  6. L

    Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

    Kwenye maji mkuu ni kina siyo kima na kwenye mshahara ni kima siyo kina.Ni maneno tofauti kwa vitu tofauti.
  7. L

    Pikipiki gani ina pulling machine ya kunifikisha CONGO DRC na kurudi Dar?

    Tafuta pikipiki kuanzia cc 500 kwenda juu.Hakikisha unavaa nguo nzito za kukabiliaba na baridi.Jitahidi kutembea mchana tu na ucku upumzike.Unaweza kabisa kwenda na kurudi.Mm nilishawahi kutumia DT 125 Suzuki toka Dar to Singida nilifika saa 6 ucku toka asubuh kwa sababu kuna muda inabidi...
  8. L

    Dj Fety wa Clouds mbona hasikiki redioni kunani?

    Labda anasoma na kufuta kwenye post yako sehem unapofanya kazi siyo ishu sana yanaweza kuwa ni maamuzi tu.
  9. L

    Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

    Hahahaha,hakikufi?hakifi
  10. L

    Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

    Yaan ndugu humu jf sasa hivi GT hawapo wameingia wavamizi kila kitu kwao siasa.Dai na Kiba muziki ni kazi yao hata ACT wakiwataka wataimba mradi mshiko
  11. L

    Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

    Hili gazeti la Uhuru ni la hovyo sana sawa na Tanzania Daima tu
  12. L

    Aliyekuwa waziri wa Elimu na mbunge wa Mufindi, Joseph Mungai ajiunga CHADEMA Leo

    Huyu si ndiye aliyeunganisha masomo kibaaao na kufuta michezo mashulen wakati mwanae anasoma nje,kigagula wasiasa huyu.
  13. L

    Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

    Mm mke wangu ndio zake na nishazoea.
Back
Top Bottom