Jimbo la Kawe mwaka huu ushindani mkali sana

Jimbo la Kawe mwaka huu ushindani mkali sana

andy90

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
269
Reaction score
105
Habarini wandungu!

Jimbo la kawe mwaka huu ni ngumu kutabiri ni nani ataibuka kidedea kutokana na kuwepo kwa wagombea wote wawili kukubalika na wananchi.

Jambo lingine ni kuwa mgombea aliyekwisha ongoza miaka mitano ambaye ni wa upinzan kuonekana kuridhika na nahis labda ameashajihakikishia ushindi au kujiamin kupita kiasi kwa kuamin kuwa labda ashakuwa maaruf huvyo hata viti maalum awez kosaa. Hii inaweza kumletea shida mgombea huyu wa upinzani na kufanya ashindwe.

Jitihada anazozifanya kufanya ashinde jimbo kwa mara nyingine ni ndogo sana tofaut na mara ya kwanza alipokuwa akiomba ridhaa ya wana kawe. Huyu wa chama tawala anaonekana kujizatiti sana na kuhitaj nafasi hiyo tofaut na mwengine.
 
Haa mbona akili zetu zinsmwona mdee tu kawe kumbe kuna mwingine
 
Yawezekana maana Mgombea wa CCM ni mtoto wa waziri Mkuu Warioba,KIppi warioba,duh hivi vyeo vya kupeana.Naona Dar wamefurika watoto wa wenye nchi.Mtoto wa Kandoro wanagombea udiwani ilala,kuna anayegombea udiwani kawe.Hongera zao.
 
Habarin wandung!
Jimbo la kawe mwaka huu ni ngumu kutabiri ni nani ataibuka kidedea kutokana na kuwepo kwa wagombea wote wawili kukubalika na wananchi.
Jambo lingine ni kuwa mgombea aliyekwisha ongoza miaka mitano ambaye ni wa upinzan kuonekana kuridhika na nahis labda ameashajihakikishia ushindi au kujiamin kupita kiasi kwa kuamin kuwa labda ashakuwa maaruf huvyo hata viti maalum awez kosaa. Hii inaweza kumletea shida mgombea huyu wa upinzani na kufanya ashindwe.
Jitihada anazozifanya kufanya ashinde jimbo kwa mara nyingine ni ndogo sana tofaut na mara ya kwanza alipokuwa akiomba ridhaa ya wana kawe. Huyu wa chama tawala anaonekana kujizatiti sana na kuhitaj nafasi hiyo tofaut na mwengine.

Kwa hiyo unaamini kuwa pamoja na kasoro zote za CCM wana Kawe wanaweza kuwa na akili ya kumchagua mgombea wa CCM ati tu kwa kuwa mgombea wa upinzani hakufanya bidii ya kuwaomba wampigie kura?? Au umeandika ukiwa chooni hukuweza kupata muda wa kutafakari?
 
Kwa hiyo unaamini kuwa pamoja na kasoro zote za CCM wana Kawe wanaweza kuwa na akili ya kumchagua mgombea wa CCM ati tu kwa kuwa mgombea wa upinzani hakufanya bidii ya kuwaomba wampigie kura?? Au umeandika ukiwa chooni hukuweza kupata muda wa kutafakari?

Afadhali huyu anafika chooni...... mheshimiwa wenu yeye anamalizia shughuli zote jukwaani
 
Halima Mdee Naona apumzike tu???Hana haja ya kupiga kampeni..!!!!@Kampeni kwa Mdee za nini wakati yeye anajua Tayari keshachukua tena jimbo la kawe.???Ana IQ Kubwa yule dada...pili ni mchapakazi...tatu ana nyota ya kupendwa na kueleweka na Wananchi...KIPI MTOTO WA WARIOBA yeye aandike maumivu yeye na baba yake WARIOBA..tumechoka na Undugunization wa CCM.
 
Hapa kazi tu

Push up mwanzo mwisho sijui push up ndo inajenga uchumi??
 
Ubunge udiwani vuruganeni lakini majuu ni MAGUFULI PEKEE
 
Wagombea wawili wataje. Huyo wa ccm si mara ya kwanza kupigwa chini na halima
 
Halima mdee anatangazwa mbunge wengine tupo kanisani ibada ya kwanza hata mkate hatujaanza kula
 
Kippi atapata kura Osterbay, Masaki na Kidogo mikocheni kwingine ni ngumu sana na kuliko baki ndio kuna wapiga kura wengi.
 
Afadhali huyu anafika chooni...... mheshimiwa wenu yeye anamalizia shughuli zote jukwaani

Bora ungekuwa unaambiwa unaongeza na za kwako. Kumbe tunajadili na mtu wa copy and paste. Wewe kwa akili yako unaona inawezekana unayoyaongea?
 
No upumbavu majimbo ya Dar kuchukuliwa NA ccm.daladala hakuna.Mani shida.Umeme haueleweki.watoto WA should kufukuzwa kwenye daladala.hospitality zote Tiba ya kubahatisha
 
Afadhali huyu anafika chooni...... mheshimiwa wenu yeye anamalizia shughuli zote jukwaani

Hauna akili unaandika non sense,,,,,, ni uwajibu wa mgombea kuomba kuraa kwa nguvu zotee hauwez ukataka ushindi halaf unasema ooooohh mmi napendwa mara oooh nina IQ kubwa,,, huo ni ujinga mkumbwa
 
Back
Top Bottom