Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Tukubaliane kimsingi hii gia ya kumtumia Balali itawaletea shida sana akina Lowasa kabla na baada ya uchaguzi kama zilivyoanza kuwatokea puani sera za babu seya na magaidi wa zanzibar

Na EL hajawahi kuongelea habari ya BALALI,siku hiyo jangwani hakujibu ki2 baada ya kuulizwa na wananchi.
 
Huyu mama anaweweseka mchana baada kukosa nafasi kugombea ubunge! Escrow wamegawana yeye akiishia kutetea ule wizi, Leo imemkosesha ubunge! Lazima alie na JK! Njaa weee akumbukwe kwenye DC

Akumbukwe kwenye UDC serikali ya nani hiyo? Iwapo watu kama Makondo wanapumulia mashine itakuwa hao wengine?
 
Huyu fisadi atatiwa kitanzi tu ngoja mahakama ya mafisadi ianzishwe.

Hivi kwani sasa hivi hakuna mahakama? Moja ya sababu zinazofanya Watanzania waamue kuwapiga chini ni hilo la kuwafanya wajinga. Ina maana makosa ya wizi na ufisadi hayahukumiki katika mahakama zetu za sasa na sheria za makosa hayo hazipo? 54 years baada ya Uhuru mgombea Urais aliyekuwa waziri kwa muda wa miaka 20 anakuja na ahadi hewa za aina hii kweli ni aibu.
Ndio maana nasikia kajisifu huko Mtwara kuwa serikali imejenga kiwanda cha Dangote.
 
Huyu mama nilianza kumchukia toka katika Bunge la Katiba jinsi alivyokuwa anaimba Taarabu.

Hajui kuogea, hana busara.

Huyu kwa kuwa ni muimba Taarabu anafikiria na makahamani anaweza kuimba Taarabu. Aelewe pale siyo Bungeni.

CCM wanahangaika sana na Lowasa. Wakae wakijua kuwa kamwe hawawezi kumtoa lowasa katika Mode ya kufanya kampeni.

Lowasa mbele kwa mbele.

TUNATAKA MABADILIKO.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Vioja vinaendelea,

Katika kipindi cha kutoka magezitini cha RFA, Imesomwa toka gazeti la UHURU kuwa Mbunge huyu Mstaafu anajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Lowassa ili aeleze BALALI alipo!!


Haya matangazo ya Bure huwa ni mazuri na hayana gharama-asichelewe kufika mahakamani.
 
Unamshitaki Lowassa ili aeleze Balali alipo?

Hii ni aina gani ya shitaka mbona sioni uhalali wake kisheria!!!
 
Huyu fisadi atatiwa kitanzi tu ngoja mahakama ya mafisadi ianzishwe.

Kwani mahakama zilizopo hazina mamlaka kuendesha kesi za kifisadi?

Yona na Mramba wamehukumiwa na mahakama zipi?

Wale baadhi ya wakwapuaji wa EPA walihukumiwa na mahakama zipi?
 
Vioja vinaendelea,

Katika kipindi cha kutoka magezitini cha RFA, Imesomwa toka gazeti la UHURU kuwa Mbunge huyu Mstaafu anajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Lowassa ili aeleze BALALI alipo!!


Mkuu usiseme Mbunge Mstaafu.

Sema Mbunge aliyetimuliwa. Huyu alitimuliwa wananchi wake baada ya kushindwa kufanya kazi vizuri. Alifikiri Watanzania wa leo ndio wale wa enzi za ujima wanaoshabikia KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Aende tu huko Mahakamani, yeye asubiri Lowasa awe Rais kisha aone kama hatomleta nchini balali.

Tunamtaka aje kujibu pesa zetu za EPA alipeleka wapi. Na awataje washiriki wenzake.


CCM watulie tu Sindano ya UKAWA iwaingie Taratiiiibu



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Juzi mwakyembe kasema anaenda mahakamani kumshitaki Edo kuhusu richmond sijui kapotelea wapi ndo awe huyu poyoyo? Namkumbuka huyu mama kwenye sskata la escrow alivyoongea pumba. Mwaka huu ccm wameshikwa pabaya
 
Huyu mama anajua,atapata u DC au hajui mwisho wa ccm ndio huu
 
Huyu hawezi muziki wa EL. Amuulize JK muziki wake! (Kuhusu Richmond JK kaweka Pamba maskioni).
Itakuwa huyu mdori?
 
Huyo mama karukwa na akili,,, nadhani baada ya muda atakuwa kichaa...hivi kati yake na vigogo wazito nchi hii nani mwenye siri nzito dhidi ya balali?
 
Aache kumshitaki kwa ufisadi ambao ndio wa tz wangependa kuona linatendewa kazi kuliko hayo ambayo hayana tija kwa taifa
 
Na alitimuliwa haswa kwa mawe na wananchi. Jimbo lake la nkenge akapewa Kamala
 
Back
Top Bottom