Wakuu habari za weekend!
Ngoja niende moja kwa moja kwenye point.
Kama kuna mtu alishawahi kufanya biashara nje ya tanzania hasa congo, zambia au nchi yoyote iliyopo kusini mwa afrika, naomba kufahamishwa fursa zilizipo kwenye hizo nchi au bidhaa gani zipo highly demand sana ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.