Lindembwee
Senior Member
- Aug 15, 2018
- 144
- 94
Wakuu habari za weekend!
Ngoja niende moja kwa moja kwenye point.
Kama kuna mtu alishawahi kufanya biashara nje ya tanzania hasa congo, zambia au nchi yoyote iliyopo kusini mwa afrika, naomba kufahamishwa fursa zilizipo kwenye hizo nchi au bidhaa gani zipo highly demand sana ambazo mfanyabiashara kutoka tz anaweza ku export na aka make money .
Mimi binafsi nina plan ya kufanya biashara hasa zambia, sasa sijui in and out, unaweza kunipa ushahuri zaid through my wastup no +255654171555.
Na swala la vibali na ushuru lipoje kwenye borders.
Nb. Mtaji sio shida kwangu.
Ngoja niende moja kwa moja kwenye point.
Kama kuna mtu alishawahi kufanya biashara nje ya tanzania hasa congo, zambia au nchi yoyote iliyopo kusini mwa afrika, naomba kufahamishwa fursa zilizipo kwenye hizo nchi au bidhaa gani zipo highly demand sana ambazo mfanyabiashara kutoka tz anaweza ku export na aka make money .
Mimi binafsi nina plan ya kufanya biashara hasa zambia, sasa sijui in and out, unaweza kunipa ushahuri zaid through my wastup no +255654171555.
Na swala la vibali na ushuru lipoje kwenye borders.
Nb. Mtaji sio shida kwangu.