Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Afrobarometer, katika kila watanzania sita basi mmoja anafikiria kuhama nchi kwenda kuishi nchi nyingine. Wengi wa wanaofikiria hivyo ni vijana na wasomi ambao wanakwenda kutafuta kazi kukimbia mazingira magumu ya kiuchumi. #KwanzaHabari