Kweli muwamba ngoma huvutia kwake, naona hapa kila mtu anamsifia mkewe au demu wake, ila ukweli wanyamwezi wako bomba japo mimi ni msichana but nimeadmit. Why lie?
nashangaa kwa sababu hata wale waliomvalisha mbwa tshirt ya ccm walikua wanatafutwa, sasa na hawa waliomvalisha n'gombe kofia? au ng'ombe ana thamani sana kwa sababu ya nyama? huku mbwa naye akiwa na thamani ya ulinzi. utataaaaaaaa
Ngoja nikusaidie kuna blog moja inaitwa mashost, itafute wameanalyse hiyo topic. Kama hutaipata tafuta blog ya bwaya then kwa pembeni ameweka blog nyingine kibao hapo utaiona hiyo blog ya mashost. Pia unaweza kupiiz nje lakini hii ni risk kwani wanaume wengi wanajisahau inahitaji umakini kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.