Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hivi: "Taarifa sahihi huwwasilishwa kwa lugha sahihi"
Akiwa na maana hii, ili kufikisha ujumbe au taarifa iliyokusudiwa kwa hadhira iliyokususdiwa basi tumia lugha inayoweza kueleweka kwa hadhira yako yote bila kubagua.
Lamwai ni mmoja wa mawakili wa ccm, sijaona mahali ameisaidia serikali ya ccm kuepukana na aibu ya kushindwa kesi mara kwa mara na huyu Tundu Lissu. HUO UWEZO WA LAMWAI UNAOMZIDI TUNDU LISSU ANAUONYESHEA WAPI?
Lamwai simuweki kwenye kundi la mawakili wazalendo kwani aliwahi jusimamia kesi ya...
Uzalendo ni dhana pana, huwezi kuujenga uzalendo katika nchi ambayo viongozi wake wanatanguliza ititkadi zao mbele. Unaposimama jukwaani na kurejea rejea kusema hii ni serikali ya ccm usitegemee wasio wanachama na wapenzi wa ccm wanafurahia nkauli hizo. Hawa wanajihisi kama serikali haiwahusu...
Unapozungumzia suala la nchi unapaswa uzungumzie pia mfumo wa maisha ya binadamu. Binadamu anaweza kuishi bila kuwepo kwa dhahabu...dhahabu inapewa thamani baada ya uwepo wa binadamu. Thamani ya dhahabu itaonekana pale tu binadamu anapopewa hadhi, heshima na thamani yake. Kwa mtazamo wangu...
Sina shida na hatua alizochukuliwa Nape na mkuu wake, suala la nguvu iliyotumika kuzuia mkutano wake imenipa roho ya kumhurumia sana. Ni upuuzi wa kumuonyesha bastola mtu ambaye si muhalifu.
Viongozi wetu wajitathimini kwa haya matumizi mabaya ya vyombo vya usalama.
Maisha ya mtu mmoja ni ya thamani kuliko makontena zaidi ya 200 ya dhahabu. Mh. Rais anapaswa kujua hilo. Lakini pia mnatakiwa kuelewa kwamba kiongozi ndiye dira ya jamii anayoiongoza, ukiona wafuasi wako wameanza kutokukufuatlia ni wajibu wako kujitathmini kwanza.
Mbona povu inakutoka ndugu yangu...!!? Soma kwa utulivu ione nia ya andiko langu...sikuwa na sina lengo la kupingana katika hili...
Lengo langu lilikuwa ni kujaribu kuweka kumbukumbu sawa...
Kwenye suala la mawasiliano, muktadha unaweza kusababisha kilichokusudiwa na mzungumzaji kisieleweke...
Baada ya Mwl kuitoa hiyo statement, mwandishi wa moja ya vyombo vya habari akaandika "Siwezi kukubali nchi yangu ikabidhiwe kwa mbwa...!!". Wataalamu lugha ya kiingereza walimponda sana mwandishi kuwa hajui kiingereza kwani alifanya tafsiri sisisi wakati hiyo ni figurative language...
Dogs kwa...
Ukiondoa RC, kuna madhehebu katika nchi ambayo yana umri mkubwa kuliko hayo uliyoyataja kwenye uzi wako...Labda ungefafanua kisayansi ni kwa nini KKKT na Anglican na siyo madhehebu kama SDA, METHODIST, MORAVIAN na mengineyo ambayo yamekuwepo ulimwenguni kabla ya Anglican (L/H) church na Lutheran...
Denda na Mapenzi ndiyo yalikuzaa wewe na leo hii una uwezo wa kuingia humu na kujenga hoja...
Acha kutukana "kitanda" kilichokuumba.
Kwa kuiita CDM chama cha denda na mapenzi unakubali kwamba ili kiumbe kipya kizaliwe lazima denda na mapenzi vihusike.
Tunahitaji taifa jipya lizaliwe...CDM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.